Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

mkuu utamgegeda punda na ile miteke yake si atakutoa baruti..
 
Hivi ukiwa kwenye 4-star au 5-star hotel halafu willfully ukafanya mapenzi na mtu ambaye ni medically confirmed HIV+, bila kinga yoyote, ni kitendo kinachoingia kwenye kundi la kufanya mapenzi katika mazingira hatari au la?
Huo unaitwa utaahira....nahisi akkili za abdala wakati mwingine zinatuongoza shimoni tena jalalani kabisa maana rational mind haiwezi kufanya haya yote kwa kweli. Ila umecheki status yako maana ingekua mimi ningedanja keshoyake kwa presha aisee
 
Dah wewe ni mbunifu aisee na bahati madaaftari yalikuwepo aisee la sivyo! ila niecheka balaa
 
Duu. Kama Adam alivyofanywa na Eva...
 
Ile likizo ya Std 7 mbaya sana, rafiki yangu alikuwa alikuwa anatindua beki 3 kila siku, ile ameenda boarding huku nyuma beki 3 mimba inaanza kuonekana. Dingi yake noma alimfuata boarding Songea na kipigo kibaya
Ding akaenda kumpa kichapo huko huko shule[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani haka kauzi kila siku ni lazima nikatafute.
Huwa kanipa rahaa sana.
Afu mleta huu Uzi aliuanzisha kimasikhara sana.
Haka kanachekesha sana kana matukio ya kufurahisha sana wengi walikuwa bado wadogo hivyo humu wengi wao mwisho wa yote waliishia vipigo [emoji23] na kufumaniwa na wazazi wao [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi ukiwa kwenye 4-star au 5-star hotel halafu willfully ukafanya mapenzi na mtu ambaye ni medically confirmed HIV+, bila kinga yoyote, ni kitendo kinachoingia kwenye kundi la kufanya mapenzi katika mazingira hatari au la?
Hapana, hapo hujafanya katika mazingira hatari, umefanya na mtu hatari
 
inamaana wadada hawana matukio mazuri ya huo mchezo sehemu za hatari naona ni wachache sna mibaba ndio inachangia sn hii mada ....haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
ila mibaba yenyewe kagotoa shughuli na wadada..naona ni unafiki tu mkuu
 
Duhhhh!!! ama kweli ni balaa...
 
Chumbani kwa mume wangu alikuwa kaenda bar table jilani kukutana na mchepuko wake nilivyochungulia nikawaona nikarudi home kwa hasira nikakamata haus boy tukapiga shoo chumbani hasira zikaisha nikalala usingizi mololo
Duh! Naomba niwe houseboy wako
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapo hata hutamani mechi ya marudiano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…