Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?


Coco beach ni wengi sana 'wamelia' miaka hiyo ya fujo na joto la ujana limenipanda mizuka na mashamsham yakapanda na mtoto akawa 'hot' anataka hapo hapo tukiwa hatua ya maandalizi tu ili aje aukwee mnazi 'la haula' jamaa hawa hapa ikawa issue na wanasema wanataka kupiga na picha sijui kutuma magazeti haya ya udaku ikabidi tu wanitoboe mfuko

Sasa cha ajabu nikawadithia kilichonikuta jamaa zangu basi ushuhuda uliotoka hapo kila mtu kwa namna yake anasema alikutana na issue hapo coco na ilivyo wale ma 'beach boys' wanatoa taarifa kwa baadhi ya mapolisi hapo wakiona gari ina tinted basi wanajipitisha karibu kujua kinacho endelea
 
Aiseeeeee!! Kuna watu hatari sana......yaani huwezi amini.
 
Sasa uh Usiano uliisha au bado mpo wote
 
Haaaa haaa haaaa Kwan mngeendelea akiwepo Kuna shida gani?
 
Sasa Uhusiano uliendelea au ndo mwisho hiyo siku
 
Niliwahi kuendesha gari usiku uelekeo wa Mabibo Jeshini tokea njia ya Kibangu. Nilipoona kipori nikaegesha pembeni nikamkunja bibie kwenye siti ya nyuma ya NOAH (kutahamaki naona lori IVECO wajeda wanaimba imba). Pona yangu nilikuwa nimefungua boneti kama gari imeharibika vile na ghafla nikajidai imewaka. Vinginevyo ningechezea kichapo cha mbwa mwizi mbele ya mbembezzz.
** wajeda wanapenda sifa sana hasa wakikubamba na demu mkali utajuta wanaweza hata wakuphire mbele yake ili udhalilike tu.
NB: Dar sehemu nzuri ya kupiga shoo za fasta ni Mlimani city na Airport parking.
 
Nakumbuka nlienda mliman city kuchek cinema na manzi flan ivi nlkuwanamlia mingo kitambo ....nakumbuka 2likuwatunachek deadpool af cku 2lioenda nakumbuka wa2 hawakuwa wengi kabsa kufanya row 2liokaa kuwa ss na mdada m1 ivi alekaa kwa mbali...basi ile kumshka shka mtt mule ndan nkaona mtt anarudsha mapgo mara paap akanifungua zipu akaanza kunyonya uku kila mmoja kakaa siti yake .....aisee ile 2memalza ujnga nkawa sjielewi kabsa mara nkash2liwa began na m2 nyuma uku kama akiwaanacheka na wenzie.....aisee skush2ka wala nn na nlitoka na yule manzi mule ndan muda ule ule....nljskia aibu sana siku ile ..hii ki2 nakumbuka nshawaimsumulia mshkaji wangu m1 chuo akanambia mule ndan kuna camera,,hii iliniogopesha kama wiki ivi nawaza 2 ili jambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…