Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Aiseee......

Hiyo inaitwa fivesome. Ulitisha saana mzee. Ulikuwa na miaka mingapi??
 
Halafu jamiiForums ilivyokuwa unaweza kukuta mwenye mke kapitia hii thread na akaiona hii comment na aka-like bila kujijua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya mambo ndo maana kaka yangu kagairi kupeleka mahali hv navokuambia tunaelekea show room n pesa ya maandalizi yote
Hahaha nasikia mnaendea ndinga nini? So taarifa mshatoa au mtawasapulaizi
 
Stori ya shigongo hii *****
 
Kwenye ngazi za bweni
[emoji15] [emoji15] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Nimecheka sana lol.....Ahsante kuifanya asubuhi yangu iwe nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…