Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

[emoji15] [emoji15] [emoji15] bora mmekua mmeacha
 
Nakumbuka kuna Siku nilikuwa nasafiri kwenda Arusha kutokea mbeya na Hood,njiani tukakukatana na ajari gari NNE,barabara ilikuwa haipitiki,njiani nilikiwa nimeshazoeana na binti Fulani hivi wa kichaga mweupee,nikamuomba mzigo,tukaingia chini ya gari kwani hapakuwepo na watu,wengi walienda kushuhudia ajari,baada ya kupiga bao la kwanza,wkt tukiwa kwenye harakati za kutafuta bao la pili,ghafla tukasikia kelele za watu na magari yakiwashwa tayari kwa safari,ikabidi nichomoa faster ile tunatoka tu uvunguni mwa gari,gari ikaanza kuondoka kuwafuata abilia japo kwa mwendo wa polepole,SITOSAU,ila binti alikuwa mtamu balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…