Salaam kwenu,
Napenda kushauri wafanyabiashara kua Tanzania ya sasa inaua mitaji ya wafanyabiashara kodi sio rafiki ni kodi kubwa kuliko mitaji yenyewe nashauri watu wakawekeze Uganda au DRC au hata Malawi kwani huko unaweza kuokoa mtaji wako kuliko tz.
Napenda kushauri wafanyabiashara kua Tanzania ya sasa inaua mitaji ya wafanyabiashara kodi sio rafiki ni kodi kubwa kuliko mitaji yenyewe nashauri watu wakawekeze Uganda au DRC au hata Malawi kwani huko unaweza kuokoa mtaji wako kuliko tz.