Mazingira ya chuo kikuu Arusha university yapoje?.

Mnyaluhala.

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2012
Posts
1,430
Reaction score
1,785
Habari wadau. Naomba kufahamishwa mazingira ya chuo hiki cha Arusha university hasa malipo ya ada na michango na ulipaji wake kama ni kwa awamu ni % ngapi? ,lazima kukaa hostel? , chakula je unalipa pesa yake chuoni au unatumia pesa yako mfukoni. Je mahitaji muhimu ni nini. Usafiri hadi chuoni je?
 
Nami naomba kudondoshewa data za AMUCTA na kama yupo anayeenda au aliyeko hapo,tujuane hapa.
 
Hapo ni full usabato.
Na pia mtashauriwa muwe wasabato.

Uongozi wa serikali ya wanafunzi upo kisabato na lazima uwe msabato
 
na mi ndo natimba izo pande afu sjui k2 so anayejua afunguke bandugu

Kijana kwa haraka toa maana ya natimba, hizo pande, afu sjui k2, afunguke na mwisho bandugu.......Uharaka wako wa kufafanua ndio uharaka wa kupata kuelewa...nasubiria jibu.
 
chuo kipo karibia na arusha national park sehemu inaitwa Ngongongare karibia na Ngurudoto Lodge........ labda unataka kujua nini zaidi?
 
kjna thama acha mikwala.....kjana endelea kufatilia na hisi co kwamba wote wanaosoma hapo ni lazima wawe wasabato...
 
Hapo ni full usabato.
Na pia mtashauriwa muwe wasabato.

Uongozi wa serikali ya wanafunzi upo kisabato na lazima uwe msabato

acha upotoshaji wa kijinga wewe pimbi unaongea ulioambiwa au ulioyaona? Your so subjective my dia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…