Furaha itakuwa imerejea kwa kuwa utawala wa sheria utakuwa umerejea nchini
Kwa kuwa katika awamu ya 5 chini ya utawala wa mwendazake, alijenga mfumo ambao wale wateule wake walikuwa na "impunity" ya kutoshtakiwa kwa kosa lolote la jinai litakalofanyika