Mazingira yapi ni sahihi kuvaa barakoa?

Mazingira yapi ni sahihi kuvaa barakoa?

lulu za uru

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2015
Posts
2,557
Reaction score
3,221
Salama wakuu,

Ukiwa unaendesha gari na tena uko mwenyewe kwenye gari yako umevaa barakoa na vioo umefunga hivi inakubalika hii?

Barabarani unatembea tu hakuna mtu kulia, kushoto mbele wala nyuma yaani unatembea Ila ile barabarani isiyo na watu hakuna msongamano wowote umevaa barakoa hii nayo imeekaje? Wataamu hebu tujuzane.

Mimi huwa najitembelea tu nikifurahia uumbaji wa Mungu, nikikaribia kwenye daladala navaa,maeneo ya sokoni,hospitali,msibani na sehemu nyingine yoyote ya mkusanyiko navaa au ninakosea wakuu?

Barakoa wengine wanavaa wiki nzima haifuliwi hapo napo?
 
Virus vya covid .....hukaa hewan ....kwa mda mrefu mzee
Hakuna kitu kama hicho,haya mambo ya magonjwa hujibiwa kwa utafiti.

Kwamba hawa wadudu wanakaa hewani hiyo ilikuwa mwanzo kabla ya kubaini huyu mdudu vzr ila kwa sasa siyo kweli hata kidogo.


Jibu la pili kuwa tuvae barakoa sehemu gani kwa mleta mada ameshajijibu mwenye labda niongezee tu

Vaaa barakoa ,kwenye msongamano wa watu,hospitalini hasa hasa wd za i.c.u

Msogamano yaweza kuwa kanisani,sokoni,viwandani,na sehemu nyinginezo.
 
Hii haina tofauti nakumshauri mtu avae condom mda wote hata Kama hayupo eneo latukio
Ona sasa unavyofananisha covid na ngoma, covid inaambukizwa kwa njia ya hewa na ngoma ni tofauti.
 
Ona Sasa unavyofananisha covid na ngoma, covid inaambukizwa kwa njia Ya hewa na ngoma ni tofauti
Lazima kuhusianisha Mambo ili kupata Jambo sio tuwetunateseka namabarakoa utazani tunalipwa
 
Starehe Kwanza afya serikali isimamie kwasababu Mimi nimtaji wao
Sawa mkuu, endelea kujidanganya, ww ukiondoka wala hakuna hata mmoja ndani ya serekali atakae umia, wakao umia ni watu wanaokuhusu tu, wengine wataendelea kula bata kama kawa.
 
Sawa mkuu , endelea kujidanganya , ww ukiondoka wala hakuna hata mmoja ndani Ya serekali atakae umia , wakao umia ni watu wanaokuhusu tu , wengine wataendelea kula bata kama kawa
Shifa sio Mimi nitaifa Zima coroner inasamba kwa sekunde
Shida sio Mimi nitaifa Zima coroner inasamba kwa sekunde
 
Hakuna kitu kama hicho,haya mambo ya magonjwa hujibiwa kwa utafiti.

Kwamba hawa wadudu wanakaa hewani hiyo ilikuwa mwanzo kabla ya kubaini huyu mdudu vzr ila kwa sasa siyo kweli hata kidogo.


Jibu la pili kuwa tuvae barakoa sehemu gani kwa mleta mada ameshajijibu mwenye labda niongezee tu

Vaaa barakoa ,kwenye msongamano wa watu,hospitalini hasa hasa wd za i.c.u

Msogamano yaweza kuwa kanisani,sokoni,viwandani,na sehemu nyinginezo.
Misibani, ni hatari sana!
 
Salama wakuu,

Ukiwa unaendesha gari na tena uko mwenyewe kwenye gari yako umevaa barakoa na vioo umefunga hivi inakubalika hii?

Barabarani unatembea tu hakuna mtu kulia, kushoto mbele wala nyuma yaani unatembea Ila ile barabarani isiyo na watu hakuna msongamano wowote umevaa barakoa hii nayo imeekaje? Wataamu hebu tujuzane.

Mimi huwa najitembelea tu nikifurahia uumbaji wa Mungu, nikikaribia kwenye daladala navaa,maeneo ya sokoni,hospitali,msibani na sehemu nyingine yoyote ya mkusanyiko navaa au ninakosea wakuu?

Barakoa wengine wanavaa wiki nzima haifuliwi hapo napo?
Sababu kuu inayonifanya nionekane nimevaa barakoa hata kwenye gari ni kuepuka vaa/vua. Imagine unatoka sehemu a unaenda b unavua ukiwa kwenye gari, then unavaa ukifika,then unavua ukiwa kwenye gari then unavaa ukifika sehemu ingine.
Unaweza hata ku contaminate hio barakoa ni Bora uiavae tu moja Kwa moja.
 
Back
Top Bottom