Mazingira yapi ni sahihi kuvaa barakoa?

Mazingira yapi ni sahihi kuvaa barakoa?

Juzi nipo kwenye mwendokasi na sikuvaa barakoa,,
Mwendokasi likuwa umejaza watu kupitiliza..

Kuna bibi mmoja alikuwa pia hana barakoa lakini alikuwa anakohoa sana. ,,akiwa ameshika kitambaa mkononi .

Ajabu !! Badala ya kujiziba mdomo na kitambaa,,
Anajiziba machoni..

Nilishuka kituo sio changu..,

Hatari sana.
 
Hakuna kitu kama hicho,haya mambo ya magonjwa hujibiwa kwa utafiti.

Kwamba hawa wadudu wanakaa hewani hiyo ilikuwa mwanzo kabla ya kubaini huyu mdudu vzr ila kwa sasa siyo kweli hata kidogo.


Jibu la pili kuwa tuvae barakoa sehemu gani kwa mleta mada ameshajijibu mwenye labda niongezee tu

Vaaa barakoa ,kwenye msongamano wa watu,hospitalini hasa hasa wd za i.c.u

Msogamano yaweza kuwa kanisani,sokoni,viwandani,na sehemu nyinginezo.
,..,....labda hivi virusi vya COVID 19 $EASON 2 ....ila vile vyakwanza vilikua vina himili kuish hewan kwa mda
 
.......tupe ukweli
Unajua kwanini kuna ile 2m social distance?! Kwasababu mate mtu akiongea hayawezi kuruka zaidi ya m2. Virusi vinakaa kwenye mate na fluids Nyingine. Vinatoka kwae mgonjwa kwenda Kwa mtu mwingine Kwa njia ya mate au kamasi. Mate au kamasi haliwezi kuelea hewani, hudondoka chini ndani ya mita mbili.
Kama ingekuwa virus vinaelea tu hewani kila mtu asievaa barakoa angeumwa.
Barakoa ni muhimu zaidi Kwa mgonjwa asiambukize watu wengine, haina nguvu sana kwenye kujikinga. Kujikinga ni kuhakikisha unanawa mikono na sanitizer kila mara na kutojigusa hovyo maeneo ya usoni.
Kama huwezi kujiweka mbali na makundi vaa barakoa muda wote.
 
Unajua kwanini kuna ile 2m social distance?! Kwasababu mate mtu akiongea hayawezi kuruka zaidi ya m2. Virusi vinakaa kwenye mate na fluids Nyingine. Vinatoka kwae mgonjwa kwenda Kwa mtu mwingine Kwa njia ya mate au kamasi. Mate au kamasi haliwezi kuelea hewani, hudondoka chini ndani ya mita mbili.
Kama ingekuwa virus vinaelea tu hewani kila mtu asievaa barakoa angeumwa.
Barakoa ni muhimu zaidi Kwa mgonjwa asiambukize watu wengine, haina nguvu sana kwenye kujikinga. Kujikinga ni kuhakikisha unanawa mikono na sanitizer kila mara na kutojigusa hovyo maeneo ya usoni.
Kama huwezi kujiweka mbali na makundi vaa barakoa muda wote.
......HAPO NMEKUELEWA MZEE .....
 
TUENDELEE KUJIFUKIZA, BARAKOA, VITAKASA MIKONO, UMBALI WA KIJAMII

AU NAWAINGIZA CHAKA WAUNGWANA WENZANGU? MASIHARA SIO MASIHARA?
 
Haya ndo mambo ya wizara kuyatolea ufafanuzi ila huwezi kuvaa barakoa kila sehemu hadi maeneo ya wazi yasiyo na masongamano, utajikuta unakuwa mtumwa wa barakoa...
 
Back
Top Bottom