naelewa sana tu ug ni almost nyumbani. luganda hii lugha mgumu kiliko "kinyankole" wale wa (western akina m7.)mkuu ww unaelewa eeh!! yaani nasikia nyo nyo nyo nyingi? naona mvua imeanza kuwazingua
huyu uncle wa marehemu anaonekana mtata sana sijui alikuwa anasoma nini haponaelewa sana tu ug ni almost nyumbani. luganda hii lugha mgumu kiliko "kinyankole" wale wa (western akina m7.)
Akisenye mwebale nyo nyo nyo dala anamaanisha asante asante sana
Labda yupo huku tzIvan ana watoto wanne msemaji mda huu ndo anasema kuna mtoto ambae hawamjui
Mkristo akawa Sangoma? Huyo Jina tuimagine ivan ni mkristu lkn hadi shehe kapewa airtime kumwaga dua
alikuwa sangoma? sikuwahi kujuaMkristo akawa Sangoma? Huyo Jina tu
Usangoma ndio umemtoa Shrine za kutosha alikuwa nazo.alikuwa sangoma? sikuwahi kujua
Numbisa
Huyo mtoto wa nne sio huyo jamaa anajiita King Lawrence sijui nani mkuu!?Ivan ana watoto wanne msemaji mda huu ndo anasema kuna mtoto ambae hawamjui
mmh king lawrence mbona ni mtu mzima mwenzie.....ni rafiki yake na umri hautofautiani sana.Huyo mtoto wa nne sio huyo jamaa anajiita King Lawrence sijui nani mkuu!?
Duh!! Aivani kamfunika daimondi vibaya saaana!!!Pesa sabuni ya roho yaani wakuu wamesimamisha shughuli kumzika tajiri, R.I.P ukiwa kapuku watu wanauliza kuna msiba wa nani?! wanaendelea kucheza bao kibarazani wala hawana muda na wewe.
leo tungeamka na jipya lingneKwa jins maisha yalivyo magumu hapa tz hela alizozikwa nazo Ivan the don zingechukua mda gan kaburin?
Oooh..basi sawa. Maana alivyokuwa anadeka kwa Marehemu nilifikiri ndio first born wake kwa mama mwingine mkuu. Asante kwa kunielewesha.mmh king lawrence mbona ni mtu mzima mwenzie.....ni rafiki yake na umri hautofautiani sana.
Kwa jins maisha yalivyo magumu hapa tz hela alizozikwa nazo Ivan the don zingechukua mda gan kaburin?
Hakika Mungu atuhurumieNi kumkufuru Mungu na kuukufuru ubinadamu kumzika mtu na fedha wakati katika jamii inayozunguka hilo kaburi kuna yatima, walemavu, wajane, wazee wasiojiweza, nk ambao hawana/hawapati mahitaji muhimu ya kibinadamu!!!