Mazishi/ misa ya Ivani live spark tv

Mazishi/ misa ya Ivani live spark tv

18722341_1649167648446736_4899312376148393984_n.jpg
18809505_1535567383134380_747172314906361856_n.jpg
18812578_438480163184595_2168031527458308096_n.jpg
18722078_344751282607661_8718026232052056064_n.jpg
18722800_792647090888433_749791063840915456_n.jpg
18811962_113318869258137_2848891437100040192_n.jpg
18812298_789751194539962_928103305513533440_n.jpg
 
mkuu ww unaelewa eeh!! yaani nasikia nyo nyo nyo nyingi? naona mvua imeanza kuwazingua
naelewa sana tu ug ni almost nyumbani. luganda hii lugha mgumu kiliko "kinyankole" wale wa (western akina m7.)
Akisema mwebale nyo nyo nyo dala anamaanisha asante asante sana
 
naelewa sana tu ug ni almost nyumbani. luganda hii lugha mgumu kiliko "kinyankole" wale wa (western akina m7.)
Akisenye mwebale nyo nyo nyo dala anamaanisha asante asante sana
huyu uncle wa marehemu anaonekana mtata sana sijui alikuwa anasoma nini hapo
 
Mungu alitoa na ametwaa jina lake kihimidiwe milele yeye ndiye anayejua sababu ya mavuno yake.Niseme watu wajue kwamba pesa na dhahabu ni Mali ya bwana.Elewa ukipewa pesa in mpango Wa Mungu kwako na ujue unapimwa.Hakika kitendo cha waombolezaji maarufu kwenye msiba Wa Ivan huko Uganda kutupwa pesa kaburini ambazo hatima yake ni kuoza ili hali wamezungukwa na watu masikini ni ishara mbaya kwa Ivan na kwa jamii Nzima na kwa dunia pia.sifahamu imani zao lakini hawafungamani na Mungu na ikiwa pesa ni karama Mungu atawajibu sawasawa na walivyotenda.ufahari sawa kama ndivyo Mungu anapenda na ikiwa ni kwa maagizo yake vinginevyo ni shida watubu.
 
Pesa sabuni ya roho yaani wakuu wamesimamisha shughuli kumzika tajiri, R.I.P ukiwa kapuku watu wanauliza kuna msiba wa nani?! wanaendelea kucheza bao kibarazani wala hawana muda na wewe.
Duh!! Aivani kamfunika daimondi vibaya saaana!!!
 
Kwa jins maisha yalivyo magumu hapa tz hela alizozikwa nazo Ivan the don zingechukua mda gan kaburin?
 
mmh king lawrence mbona ni mtu mzima mwenzie.....ni rafiki yake na umri hautofautiani sana.
Oooh..basi sawa. Maana alivyokuwa anadeka kwa Marehemu nilifikiri ndio first born wake kwa mama mwingine mkuu. Asante kwa kunielewesha.
 
Kwa jins maisha yalivyo magumu hapa tz hela alizozikwa nazo Ivan the don zingechukua mda gan kaburin?

Ni kumkufuru Mungu na kuukufuru ubinadamu kumzika mtu na fedha wakati katika jamii inayozunguka hilo kaburi kuna yatima, walemavu, wajane, wazee wasiojiweza, nk ambao hawana/hawapati mahitaji muhimu ya kibinadamu!!!
 
Ni kumkufuru Mungu na kuukufuru ubinadamu kumzika mtu na fedha wakati katika jamii inayozunguka hilo kaburi kuna yatima, walemavu, wajane, wazee wasiojiweza, nk ambao hawana/hawapati mahitaji muhimu ya kibinadamu!!!
Hakika Mungu atuhurumie
 
Back
Top Bottom