Mazishi ya Dkt. Augustine Philip Mahiga kijijini kwake Tosamaganga mkoani Iringa. Mkewe ashindwa kuhudhuria baada ya kuwa Kenya akiuguza mtoto

Mzazi mwenzie kati ya watoto watano wa Janet,wale wawili wa mwisho ni wa mzee Mahiga. Modesta na Andrew.

Wakuu basi tuwe SPECIFIC PRICISE AND ACCURATE...

Mnachotaka kusema ni kwamba the deceased NEVER married.. NEVER had a wife!?

Na watoto wake hasa ni wapi. With legal rites..
 
Wakuu basi tuwe SPECIFIC PRICISE AND ACCURATE...

Mnachotaka kusema ni kwamba the deceased NEVER married.. NEVER had a wife!?

Na watoto wake hasa ni wapi. With legal rites..
Alikuwa na mke. Si unajua wakristo kwa michepuko. Kwenye ile last speech wamesema kaacha mjane na watoto kadhaa. Mwanaume akishasemwa kaacha watoto kadhaa ujue hapo.......
 
Muacheni mama wa watu amuuguze mtoto wake. Jiwe alivyomdhalilisha hadharani mbele ya trafiki na umma Unadhani atatoa wapi karej ya kuja kujumuika na wajumbe wake. Hadi le hajaombwa msamaha
Mama ndiye alimdhalilisha Traffic hivyo alipaswa awaombe watanzania msamaha kwa kutumia cheo cha mmewe vibaya kuvunja sheria za usalama barabarani na kudhalilisha traffic police .
 
RIP Dkt. A. Mahiga, ndugu yangu alizikwa usiku wa manane na serikali bila ndugu. Tulikuwa na uwezo wa kumsafirisha kwenda Bukoba.
Tumeumbwa kwa udongo, tunarudi udongoni, lakini tuwe na utu bila kuangalia vyeo.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu basi tuwe SPECIFIC PRICISE AND ACCURATE...

Mnachotaka kusema ni kwamba the deceased NEVER married.. NEVER had a wife!?

Na watoto wake hasa ni wapi. With legal rites..

Modesta mahiga humfahamu?? Bas wewe sio wa mujini😄
 
Janet Mbene siyo mke wa ndoa. Huyu ni side dish alizaa naye watoto wawili au watatu kama sikosei. Wawili mmoja binti na kaka wako Marekani ambao ni wa Janeth. Vipi Janet msibani kaonekana? 😅😅😅😅😅

Unakumbuka 2015 ilisemekana mume anataka gombea urais? Mbona walipiga picha kama ya pamoja na huy mama? Bas nilikua ajua ndo anakaa naye...all in all amesitiriwa basi
 
Aisee. Kwa hiyo wengine wanasafirishwa na kuzikwa kiheshima na wengine wanazikwa makaburi ya umma usiku. Mungu anawaona nakwambia. Tumaomba picha za kwenye msiba tuone ni serikali inazka au ni ndugu.
Ndiyo maana sipigi kura wala kulipa kodi
 
Kumbuka hakuna ndege za international. MipKa imefungwa
Kwa vyovyote na kwa kufuata taratibu isingekuwa rahisi kushiriki mazishi ya mumewe. Msafiri yeyote awe mtz au vinginevyo, akiingia nchini siku 14 za kalantine zinamhusu.
 
Hebu endeleeeni na mjadala mpaka nijue mzee alioa au alikua bachela. Na Je mzee alikua na michepuko wangapi.

Wala msinijibu lkn jwa mjadala huu nitaelewa tu. Maana wabongo hakuna msichojua
 
Hebu endeleeeni na mjadala mpaka nijue mzee alioa au alikua bachela. Na Je mzee alikua na michepuko wangapi.

Wala msinijibu lkn jwa mjadala huu nitaelewa tu. Maana wabongo hakuna msichojua
Zinakosekana picha tu hapa..
 
Classes haziepukiki kwenye jamii,

Tabaka haziepukiki zaidi huku kwetu dunia ya tatu ndio kuna binadamu wanyonge dhidi ya binadamu viongozi-makupe.

Viongozi wa Bunge la Marekani, Spika Pelosi (Democrat) na Majority Leader McConnel (Republican), wamekataa kupokea kipimo cha Corona kinachotoa majibu papo kwa papo, na kusema kama kitu hicho kipo basi kipelekwe uswahilini huko ambako ndio kitafanya "a greater good."

Sasa juzi Spika Ndugai anasema atampigania udi na uvumba Marehemu Mbunge Ndassa asizikwe na serikali mputa mputa hapo hapo alipofia kama alivyompigania Mama Rwakatare na akazikwa kwenye maeneo yake, kwa sababu kwa Muafrika inaleta ukakasi kuzikwa mbali na kwenu.

Watanzania wengine wanaozikwa na serikali Ununio, usiku usiku, mputa mputa, hurusiwi hata kupiga picha, wale wana mila za nani, Wa-Spanish?????

Yani, unabaki unajiuliza, hivi viongozi wetu wa Afrika wanabaki wazima kweli vichwani wanapopata madaraka????
 
Unakumbuka 2015 ilisemekana mume anataka gombea urais? Mbona walipiga picha kama ya pamoja na huy mama? Bas nilikua ajua ndo anakaa naye...all in all amesitiriwa basi
Daahhh kama ni hivyo mpaka picha basi ndiyo maana Bimkubwa kaona heri auguze mtoto Kenya. Walizaa na Janeth ila ni kama alikuwa mke wa pili kama siyo wa kwanza kwa upande wake Jasusi. Ndoa hizi Bana.
 
Daahhh kama ni hivyo mpaka picha basi ndiyo maana Bimkubwa kaona heri auguze mtoto Kenya. Walizaa na Janeth ila ni kama alikuwa mke wa pili kama siyo wa kwanza kwa upande wake Jasusi. Ndoa hizi Bana.


Mie sitaki hata kujaji mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…