warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Ongezeko la kasi ya utumiaji wa mitandao ya kijamii inaweza kuwa Great depression kwa kaka manager wa kampuni ya GPL bwana Eric james Shigongo.
Tofauti na miaka iliyopita ambapo magazeti yake (ijumaa,risasi,uwazi,ijumaa wikienda na risasi mchanganyiko) yalikuwa ndo habari ya mujini kwa kuongoza kwa kusomwa na watu wengi zaidi Tanzania, ivi sasa mambo yameenda ndivyo sivyo baada ya mitandao ya kijamii kama instagram, Jamii forum, Facebook na mengineyo kuongoza kwa kutumiwa na wananchi wengi zaidi. baadhi ya watu kwenye mitandao ya kijamii wamekuwa tishio kubwa sio tu kwa mastaa na mashabiki wao, unaambiwa hadi waandishi wa habari wamekuwa wadogo kwa kasi ya hali ya juu na ya ajabu iliyoanzishwa na baadhi ya watumiaji wa mitandao hiyo kwa kutoa habari nyeti kuhusu baadhi ya mastaa apa bongo.
Ni ukweli usiopingika magazeti ya shigongo yamebaki kuwa sehemu ya kuuzia sura wasanii na sio kwa habari moto kama ilivyokuwa apo awali.
ujio wa kasi ya matumizi ya mitandao ya kijamii unamnyima usingizi mfanyabiashara huyu, sio tu kibiashara hata kwa maisha yake binafsi.
Kwa kuonyesha udhaifu wao wa kufulia ki habari , waandishi wa magazeti ya GPL wamekuwa wakihangaika kwenye mitandao ya kijamii kutafuta habari za kuandika magazetini , kitu ambacho kimepunguza msisimko wa habari.
Baadhi ya watumiaji wa mitandao hiyo wamekuwa wakiandika scandal chafu na nyeti kuhusu mastaa mbali mbali.
Ujio huo wa wa kasi ya watu wa kwenye mitandao ya kijamii wanaosemekana kuwa ni watu wa karibu na baadhi ya mastaa , umewakosesha raha baadhi ya waandishi.
Tofauti na miaka iliyopita ambapo magazeti yake (ijumaa,risasi,uwazi,ijumaa wikienda na risasi mchanganyiko) yalikuwa ndo habari ya mujini kwa kuongoza kwa kusomwa na watu wengi zaidi Tanzania, ivi sasa mambo yameenda ndivyo sivyo baada ya mitandao ya kijamii kama instagram, Jamii forum, Facebook na mengineyo kuongoza kwa kutumiwa na wananchi wengi zaidi. baadhi ya watu kwenye mitandao ya kijamii wamekuwa tishio kubwa sio tu kwa mastaa na mashabiki wao, unaambiwa hadi waandishi wa habari wamekuwa wadogo kwa kasi ya hali ya juu na ya ajabu iliyoanzishwa na baadhi ya watumiaji wa mitandao hiyo kwa kutoa habari nyeti kuhusu baadhi ya mastaa apa bongo.
Ni ukweli usiopingika magazeti ya shigongo yamebaki kuwa sehemu ya kuuzia sura wasanii na sio kwa habari moto kama ilivyokuwa apo awali.
ujio wa kasi ya matumizi ya mitandao ya kijamii unamnyima usingizi mfanyabiashara huyu, sio tu kibiashara hata kwa maisha yake binafsi.
Kwa kuonyesha udhaifu wao wa kufulia ki habari , waandishi wa magazeti ya GPL wamekuwa wakihangaika kwenye mitandao ya kijamii kutafuta habari za kuandika magazetini , kitu ambacho kimepunguza msisimko wa habari.
Baadhi ya watumiaji wa mitandao hiyo wamekuwa wakiandika scandal chafu na nyeti kuhusu mastaa mbali mbali.
Ujio huo wa wa kasi ya watu wa kwenye mitandao ya kijamii wanaosemekana kuwa ni watu wa karibu na baadhi ya mastaa , umewakosesha raha baadhi ya waandishi.