Mazishi ya Kada wa CHADEMA Tanga. Waziri wa Mambo ya Ndani Masauni ahudhuria

Mazishi ya Kada wa CHADEMA Tanga. Waziri wa Mambo ya Ndani Masauni ahudhuria

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Tumefika salama. Kumshindikiza mzee wetu

=======

Waziri wa Mambo ya Ndani, Eng. Hamad Masauni, amesema Rais amehuzunishwa sana na tukio hili, na kutoa wito kwa mtu yeyote kuacha kushutumu, badala yake kama mtu ana kielelezo aweze kukiwasilisha.

"Wanafamilia wajue Serikali ipo pamoja na nyie, na hakuna namna ya kuharakisha utoaji haki"

Pia, alitoa pole na rambirambi kwa familia ya mwathiriwa, akihimiza maombi kwa mwathiriwa.

Pia, soma=> Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu

Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, ameeleza kuwa Kibao alikuwa kiongozi mashuhuri na mtaalamu mahiri, aliyeshirikiana nao katika mikakati ya chama kabla ya safari yake kwenda Dar es Salaam.

Mnyika alilaumu Idara ya Usalama wa Taifa kwa kuhusika katika tukio lililosababisha kifo hicho, na akaunga mkono wito wa uwajibikaji, akisisitiza kuwa haki iliyo bora ni kusema ukweli mbele ya watawala dhalimu.
 
Nyie kama mnataka kuwa wapinzani acheni njaa zenu tulieni mfanye hiyo kazi kama hamtaki rudini CCM mtulie.
 
Huyu sheikh anatoa dawaaa. Muislam anatoa elimu ya mirathi
 
Kuruhusu Masauni aondoke salama Tanga CDM hakuna kitu
 
Huu Ukatili umechafuwa Taswira ya TAIFA ndani na nje tumekuwa kama WANYAMA
Walioupanga huu mpango wameupanga vyema kabisa.

Hii inaitwa kama kuzama tuzame wote.

Watajulikana tu, kama bado mpaka sasa.
 
Tumefika salama. Kumshindikiza mzee wetu

=======

Waziri wa Mambo ya Ndani, Eng. Hamad Masauni, amesema Rais amehuzunishwa sana na tukio hili, na kutoa wito kwa mtu yeyote kuacha kushutumu, badala yake kama mtu ana kielelezo aweze kukiwasilisha.

"Wanafamilia wajue Serikali ipo pamoja na nyie, na hakuna namna ya kuharakisha utoaji haki"

Pia, alitoa pole na rambirambi kwa familia ya mwathiriwa, akihimiza maombi kwa mwathiriwa.

Pia, soma=> Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu

Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, ameeleza kuwa Kibao alikuwa kiongozi mashuhuri na mtaalamu mahiri, aliyeshirikiana nao katika mikakati ya chama kabla ya safari yake kwenda Dar es Salaam.

Mnyika alilaumu Idara ya Usalama wa Taifa kwa kuhusika katika tukio lililosababisha kifo hicho, na akaunga mkono wito wa uwajibikaji, akisisitiza kuwa haki iliyo bora ni kusema ukweli mbele ya watawala dhalimu.
Masauni amezomewa na kushushwa jukwaani
 
Tumefika salama. Kumshindikiza mzee wetu

=======

Waziri wa Mambo ya Ndani, Eng. Hamad Masauni, amesema Rais amehuzunishwa sana na tukio hili, na kutoa wito kwa mtu yeyote kuacha kushutumu, badala yake kama mtu ana kielelezo aweze kukiwasilisha.

"Wanafamilia wajue Serikali ipo pamoja na nyie, na hakuna namna ya kuharakisha utoaji haki"

Pia, alitoa pole na rambirambi kwa familia ya mwathiriwa, akihimiza maombi kwa mwathiriwa.

Pia, soma=> Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu

Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, ameeleza kuwa Kibao alikuwa kiongozi mashuhuri na mtaalamu mahiri, aliyeshirikiana nao katika mikakati ya chama kabla ya safari yake kwenda Dar es Salaam.

Mnyika alilaumu Idara ya Usalama wa Taifa kwa kuhusika katika tukio lililosababisha kifo hicho, na akaunga mkono wito wa uwajibikaji, akisisitiza kuwa haki iliyo bora ni kusema ukweli mbele ya watawala dhalimu.
Tusi shutume tuu.
Huyu jamaa alikuwa nani katika maisha nje ya siasa.
Hakujihusisha na kufanya mambo ambayo haya endani na maadili ya ya kuishi.

Isije kuwa watu wamelipa kisasi na sasa watu wana singizia Serikali.
Jee alikuwa hana maadui huko uraiani?
 
Tusi shutume tuu.
Huyu jamaa alikuwa nani katika maisha nje ya siasa.
Hakujihusisha na kufanya mambo ambayo haya endani na maadili ya ya kuishi.

Isije kuwa watu wamelipa kisasi na sasa watu wana singizia Serikali.
Jee alikuwa hana maadui huko uraiani?

Kwa hivyo wakalipiza kiasi Kwa kusimamishwa basi mchana kweupe Tena maaskari?. Acheni maswali ya kinafiki
 
Back
Top Bottom