Mazishi ya mfanyabiashara na mwekezaji Hilal Hamad maarufu 'Phantom' yafanyika Mjini Shinyanga

Mazishi ya mfanyabiashara na mwekezaji Hilal Hamad maarufu 'Phantom' yafanyika Mjini Shinyanga

Tamimu fuad

Member
Joined
Dec 17, 2019
Posts
26
Reaction score
45
Mazishi ya aliyekuwa Mfanyabiashara na mwekezaji mzawa wa mkoa wa Shinyanga Hillal Hamad maarufu kwa jina la Phantom, yamefanyika leo Jumanne tarehe 04,10,2022, kwenye makaburi ya Waislamu yaliyopo Nguzonane katika Manispaa ya Shinyanga.

Mazishi ya Mwekezaji huyo ambaye pia alikuwa ni kada wa Chama cha Mapinduzi CCM, yamehudhuriwa na watu wa mbalimbali wakiwemo Wafanyabiashara ,Viongozi wa Serikali, na vyama vya siasa.

Akimzungumzia msiba huo, Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa (NEC) Bwana Gasper Kileo , amesema marehemu Hillal ameacha pengo kubwa katika sekta ya uwekezaji na kwenye chama cha Mapinduzi na atakumbukwa kutokana na michango mbalimbali ya hali na mali aliyoitoa.
 
Mazishi ya aliyekuwa Mfanyabiashara na mwekezaji mzawa wa mkoa wa Shinyanga Hillal Hamad maarufu kwa jina la Phantom, yamefanyika leo Jumanne tarehe 04,10,2022, kwenye makaburi ya Waislamu yaliyopo Nguzonane katika Manispaa ya Shinyanga.

Mazishi ya Mwekezaji huyo ambaye pia alikuwa ni kada wa Chama cha Mapinduzi CCM, yamehudhuriwa na watu wa mbalimbali wakiwemo Wafanyabiashara ,Viongozi wa Serikali, na vyama vya siasa.

Akimzungumzia msiba huo, Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa (NEC) Bwana Gasper Kileo , amesema marehemu Hillal ameacha pengo kubwa katika sekta ya uwekezaji na kwenye chama cha Mapinduzi na atakumbukwa kutokana na michango mbalimbali ya hali na mali aliyoitoa.
Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa (NEC) Bwana Gasper Kileo , amesema marehemu Hillal ameacha pengo kubwa katika sekta ya uwekezaji na kwenye chama cha Mapinduzi na atakumbukwa kutokana na michango mbalimbali ya hali na mali aliyoitoa.
 
R.I.P Hilal
Ndio wazee wa mwisho hao Shinyanga, pamoja na kina Mzee Karama, Zamzam, Hamduni, Nchambis, Mnazi, Mbuzi....wote R.I.P
Sijui na wale wahindi kama bado wapo kina Makecha, na wale Delight Cinema ndio walikuwa wahindi wa mwisho Shinyanga, kina Aziz Shakur walikimbia kesi ya MNET zamani....
Aisee..Zamani sana Shinyanga......
 
Hivi kwani Kuna tofauti ya mtu na Binadamu?!
Binadamu (Human being) ni mnyama aina ya mamalia anayetembelea miguu miwili na ana anaongea kwa Lugha maalum.

Mtu ni Binadam mwenye utu; Usafi, ushiriakiano na wenzake, ustaarabu nk.

Bila uislam sisi wote ni binadamu aina ya wanyama...ila uislam unatubadilisha kuwa watu kamili wanaofuata taratibu za utu kwa asilimia 100% ambazo mungu mwenyewe aliziweka kupitia mtume na Quran
 
Binadamu (Human being) ni mnyama aina ya mamalia anayetembelea miguu miwili na ana anaongea kwa Lugha maalum.

Mtu ni Binadam mwenye utu; Usafi, ushiriakiano na wenzake, ustaarabu nk.

Bila uislam sisi wote ni binadamu aina ya wanyama...ila uislam unatubadilisha kuwa watu kamili wanaofuata taratibu za utu kwa asilimia 100% ambazo mungu mwenyewe aliziweka kupitia mtume na Quran
Acha udini

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kaua watu wengi huyo katili tukianza na yule jamaa alikua akitetea eneo ambalo phantom aliwekeza mgodi wa almasi,huyu jamaa alipgwa risasi mchana kabisa,pili ukiwa na kesi nae anakupeleka magereza huku akitoa magunia ya mahindi ili usitoke jela..acha akutane na adhabu yake huko.
 
Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa (NEC) Bwana Gasper Kileo , amesema marehemu Hillal ameacha pengo kubwa katika sekta ya uwekezaji na kwenye chama cha Mapinduzi na atakumbukwa kutokana na michango mbalimbali ya hali na mali aliyoitoa.
Sponsor amedead
 
Back
Top Bottom