Muda huu mwili upo katika ukumbi wa staples center Los Angeles, ambapo viongozi ndugu jamaa na marafiki wanatoa speech kuhusu maisha ya nipsey kw ujumla.
hapo chini ni ramani inayoonyesha mahali mwili wa marehemu nipsey hussle utapopita kutoka ukumbini, mtaani/nyumbani, dukani kwake hadi makaburini
R.I.P Nipsey. The Marathon continues!!!
UPDATES
Raisi obama atoa salamu za rambirambi kupitia mwakilishi wake
hii si sawa hata kidogo, yaani mtu ana fariki leo kasha wajanja wanakuweka kwenye friji kwa takriban wiki3 kasha wanauzungusha mwili wako mji mzima alafu wiki ya 4 ndiyo wanakuzika, hapana kuna kitu hakipo sawa apo!
Mbna taarifa za wana zinadai jamaa kauliwa na white house...na pia camera iliyorekod tukio ni ya nyumba jiran ndo inayotrend sana mtandaoni...duka la jamaa limejaa kamera lakn hazjatumika kuonesha tukio na zlikuwa very close sana kias cha kuweza kunasa tukio zima kwa usahihi....inavyoonekana zilifanyiwa uhuniKulikua hamna namna, jamaa aliye muua Nipsey ilikua lazima amuue tu. Kwenye Gangstar life hakuna kitu kibaya kama kuitwa snitch, nano atakuamini? Nipsey alimuita mwana snitch hadharani, mwana akajua ndo basi tena credibility yake crips ndo imekwisha, lazima wana wataanza kuniangalia kwa jicho tofauti na mwisho ni kifo. Akaona namwai mimi, that gangstar life, RIP King Nipsey.
Kulikua hamna namna, jamaa aliye muua Nipsey ilikua lazima amuue tu. Kwenye Gangstar life hakuna kitu kibaya kama kuitwa snitch, nano atakuamini? Nipsey alimuita mwana snitch hadharani, mwana akajua ndo basi tena credibility yake crips ndo imekwisha, lazima wana wataanza kuniangalia kwa jicho tofauti na mwisho ni kifo. Akaona namwai mimi, that gangstar life, RIP King Nipsey.
Wote walikua gang mojashitty cuz alikuwa gang moja na nipsey?
Mbna taarifa za wana zinadai jamaa kauliwa na white house...na pia camera iliyorekod tukio ni ya nyumba jiran ndo inayotrend sana mtandaoni...duka la jamaa limejaa kamera lakn hazjatumika kuonesha tukio na zlikuwa very close sana kias cha kuweza kunasa tukio zima kwa usahihi....inavyoonekana zilifanyiwa uhuni
Alikufa 31/03/2019Nipsey amefariki wiki 3 nyuma?
Sent using Jamii Forums mobile app
The Marathon Continues...Muda huu mwili upo katika ukumbi wa staples center Los Angeles, ambapo viongozi ndugu jamaa na marafiki wanatoa speech kuhusu maisha ya nipsey kw ujumla.
hapo chini ni ramani inayoonyesha mahali mwili wa marehemu nipsey hussle utapopita kutoka ukumbini, mtaani/nyumbani, dukani kwake hadi makaburini
R.I.P Nipsey. The Marathon continues!!!
Jamaa ana hangover huyo, achana nae.Kwa hiyo wiki 3 tayari?
Sent using Jamii Forums mobile app