screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Sio wazungu, ni hawa wasela mavi 'black america' lifestyle yao ndo inawauaivi ni kkwann wanamuzik wa kimarekani lazima wawe mawakala wa makundi ya uhalifu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wazungu, ni hawa wasela mavi 'black america' lifestyle yao ndo inawauaivi ni kkwann wanamuzik wa kimarekani lazima wawe mawakala wa makundi ya uhalifu
Ni tofauti za kiiman bab....pale china chairman mao amewekwa kama sanamu hajazikwa mpaka leo....toka 1970s...hii si sawa hata kidogo, yaani mtu ana fariki leo kasha wajanja wanakuweka kwenye friji kwa takriban wiki3 kasha wanauzungusha mwili wako mji mzima alafu wiki ya 4 ndiyo wanakuzika, hapana kuna kitu hakipo sawa apo!