Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ni lugha tu niliyotumia, lakini nimeandika hiviHapana haujaongea
Spooky!!Mkuu tuelezee na hizo namba pendwa kwenye mambo ya kiimani hususan 3,7 na 40.
Ila ishu ya kuacha alama nahisi ipo kama kuna DNA,digital footprints, basi hata spiritual footprint hasa kwenye picha.
Ule uzi wako wa picha katika ulimwengu wa kiroho ni fikirishi sana.
[emoji2][emoji23][emoji23]...binadam hawana jema, wengi wanaoishi vyema na watu ndo yanawakuta haya mkuu, utasikia fulani anajifanya mwema sana ngoja tumkomeshe, ushauri wako naona kama hausaidii kitu.
Mmh sina utaalam na maandishi ya kiarabu mkuuMshana Jr hii inamaana ganView attachment 1772871
Bado haipaswi kuupuuza si kila auguaye maralia huponywa na msetobinadam hawana jema, wengi wanaoishi vyema na watu ndo yanawakuta haya mkuu, utasikia fulani anajifanya mwema sana ngoja tumkomeshe, ushauri wako naona kama hausaidii kitu.
Du hii sasa roho mbaya ndugu yangu. Temana naye tu japo kanauzi kweliVp mkuu Mshana Jr hili zoezi hatuwezi tukakazika kale kapimbi kanajiita ndugai pale mjengoni?
Vinahitajika Nini na nini nikavilete chap tukasafirishe kakaungane na shujaa mwenzake jehanamu?
Chuki ndio mchawi mkuu..Hasidi hana sababu hata ukiwa mwema. Binadamu anakuchukia akimua tu
acha tu mkuu, kua mwema ni fahari kubwa sana kijamii bt watu hawa wanapitia mitihani migum sana ajili ya wema wao.[emoji2][emoji23][emoji23]...
Wanasema anajifanya mwema,alafu makombora yaanza...
DUNIA HII ACHA KABISA..nimepitia mengi sana