dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
ku date kote na Rigobert hawakupata mtotohakuacha mtoto
Hamnaaa baaanaaa. Ndio nani huyu? Nataka maelezo ya kina umri, familia, jinsia haya yote Lazima nijulishwe.Rudi usome maelezo yote
Kwamba Tsh 600,600/= hela alikuwa hana hata watoto hana hii ni hasara kubwa sana kwake.vito vya dola 260!
Picha za maziko,siyo picha za marehemu akiwa hai.Bonyeza attachment zinafunguka.
Family KikutaView attachment 2060008View attachment 2060009View attachment 2060010View attachment 2060011View attachment 2060012
View attachment 2060013
Mwanamuziki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo François Lulendo Matumona, maarufu General Defao amezikwa leo Jumamosi katika mazishi ya kitaifa.
Defao alifariki mwezi Disemba mwaka jana katika hospitali Laquintinie huko Douala, Cameroon, ambako alikuwa akipokea matibabu.
Jamaa zake wanasema mwanamuziki huyu hakuacha mtoto lakini ameacha nyuma vito vya dhahabu vya thamani ya dola 260 za Kimarekani (mikufu ya dhahabu aliyokuwakuwa akivalia shingoni).
Wanamuziki wenzake na mashabiki wake waliohudhuri mazishi hayo wakiwa wamevalia mavazi za bei ghali wakidai pia Defao alikuwa mmoja wao, na wanafanya maonesho ya mavazi.
Pia alicheza kwa muda mfupi na Fogo Stars na Somo West kabla ya kujiunga na Grand Zaiko Wawa na baadaye kuwa sehemu muhimu ya Choc Stars.
Ilikuwa katika kipindi hiki ambapo Defao aliboresha ustadi wake wa uimbaji na uandishi wa nyimbo, akifanya kazi na watu wa nyumbani wakati huo kama Ben Nyamabo na Bozi Boziana.
Defao, katika azma yake ya kujitengenezea nafasi nzuri, aliachana na Choc Stars kuelekea mwisho wa 1990 na kuunda Big Stars na Djo Poster.
Hata hivyo, mambo hayakwenda kulingana na mipango yake na alilazimika kutafuta wanamuziki wapya baada ya Djo kuondoka.
Katikati ya miaka ya 90, Defao alikuwa tayari akitishia kufuta majina maarufu kama Koffi Olomide na Bozi Boziana kutoka ulingo wa muziki lakini hakufaulu kupata umaarufu nje ya nchi.
Zaidi soma
TANZIA - Mwanamuziki Francoise Lulendo Matumona (General Defao) afariki Dunia
Muziki wa Rhumba leo umepata pigo baada ya Mkongwe wa Muziki huo Defao kufariki Nchi Cameroon Sisi watu wa Tandika na Temeke kwa ujumla tutakumbuka sana kibao chake cha FAMILY KIKUTA ambacho tulikicheza sana miaka ya 90 kwenye ukumbi wetu wa IIMASCO CENTER uliokuwa Karibu na Uwanja wa Taifa...www.jamiiforums.com
Jenerali Defao alikuwa gaidi nchini Kongo.Ndo nani huyu
Dola 260 = Tsh 598,000. Amekufa kwenye umasikini wa kutisha.View attachment 2060008View attachment 2060009View attachment 2060010View attachment 2060011View attachment 2060012
View attachment 2060013
Mwanamuziki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo François Lulendo Matumona, maarufu General Defao amezikwa leo Jumamosi katika mazishi ya kitaifa.
Defao alifariki mwezi Disemba mwaka jana katika hospitali Laquintinie huko Douala, Cameroon, ambako alikuwa akipokea matibabu.
Jamaa zake wanasema mwanamuziki huyu hakuacha mtoto lakini ameacha nyuma vito vya dhahabu vya thamani ya dola 260 za Kimarekani (mikufu ya dhahabu aliyokuwakuwa akivalia shingoni).
Wanamuziki wenzake na mashabiki wake waliohudhuri mazishi hayo wakiwa wamevalia mavazi za bei ghali wakidai pia Defao alikuwa mmoja wao, na wanafanya maonesho ya mavazi.
Pia alicheza kwa muda mfupi na Fogo Stars na Somo West kabla ya kujiunga na Grand Zaiko Wawa na baadaye kuwa sehemu muhimu ya Choc Stars.
Ilikuwa katika kipindi hiki ambapo Defao aliboresha ustadi wake wa uimbaji na uandishi wa nyimbo, akifanya kazi na watu wa nyumbani wakati huo kama Ben Nyamabo na Bozi Boziana.
Defao, katika azma yake ya kujitengenezea nafasi nzuri, aliachana na Choc Stars kuelekea mwisho wa 1990 na kuunda Big Stars na Djo Poster.
Hata hivyo, mambo hayakwenda kulingana na mipango yake na alilazimika kutafuta wanamuziki wapya baada ya Djo kuondoka.
Katikati ya miaka ya 90, Defao alikuwa tayari akitishia kufuta majina maarufu kama Koffi Olomide na Bozi Boziana kutoka ulingo wa muziki lakini hakufaulu kupata umaarufu nje ya nchi.
Zaidi soma
TANZIA - Mwanamuziki Francoise Lulendo Matumona (General Defao) afariki Dunia
Muziki wa Rhumba leo umepata pigo baada ya Mkongwe wa Muziki huo Defao kufariki Nchi Cameroon Sisi watu wa Tandika na Temeke kwa ujumla tutakumbuka sana kibao chake cha FAMILY KIKUTA ambacho tulikicheza sana miaka ya 90 kwenye ukumbi wetu wa IIMASCO CENTER uliokuwa Karibu na Uwanja wa Taifa...www.jamiiforums.com
Kama unauliza ndio nani rudi usome tena ila kama unataka historia yake basi Subiri inakuja.Hamnaaa baaanaaa. Ndio nani huyu? Nataka maelezo ya kina umri, familia, jinsia haya yote Lazima nijulishwe.
Sauh'waaah?!