Mazishi ya mwanamuziki General Defao yafanyika DR Congo

Mazishi ya mwanamuziki General Defao yafanyika DR Congo

View attachment 2060008View attachment 2060009View attachment 2060010View attachment 2060011View attachment 2060012
View attachment 2060013
Mwanamuziki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo François Lulendo Matumona, maarufu General Defao amezikwa leo Jumamosi katika mazishi ya kitaifa.

Defao alifariki mwezi Disemba mwaka jana katika hospitali Laquintinie huko Douala, Cameroon, ambako alikuwa akipokea matibabu.

Jamaa zake wanasema mwanamuziki huyu hakuacha mtoto lakini ameacha nyuma vito vya dhahabu vya thamani ya dola 260 za Kimarekani (mikufu ya dhahabu aliyokuwakuwa akivalia shingoni).

Wanamuziki wenzake na mashabiki wake waliohudhuri mazishi hayo wakiwa wamevalia mavazi za bei ghali wakidai pia Defao alikuwa mmoja wao, na wanafanya maonesho ya mavazi.
Pia alicheza kwa muda mfupi na Fogo Stars na Somo West kabla ya kujiunga na Grand Zaiko Wawa na baadaye kuwa sehemu muhimu ya Choc Stars.

Ilikuwa katika kipindi hiki ambapo Defao aliboresha ustadi wake wa uimbaji na uandishi wa nyimbo, akifanya kazi na watu wa nyumbani wakati huo kama Ben Nyamabo na Bozi Boziana.

Defao, katika azma yake ya kujitengenezea nafasi nzuri, aliachana na Choc Stars kuelekea mwisho wa 1990 na kuunda Big Stars na Djo Poster.

Hata hivyo, mambo hayakwenda kulingana na mipango yake na alilazimika kutafuta wanamuziki wapya baada ya Djo kuondoka.

Katikati ya miaka ya 90, Defao alikuwa tayari akitishia kufuta majina maarufu kama Koffi Olomide na Bozi Boziana kutoka ulingo wa muziki lakini hakufaulu kupata umaarufu nje ya nchi.

Zaidi soma
Family Kikuta
 
hahahaha nimemkumbuka Mzee mmoja miaka fulani alitajwa tajwa kama mtu wake wa karibu.... aliistafishwa na Bwana Che Nkapa kwa manufaa ya umma..
 
View attachment 2060008View attachment 2060009View attachment 2060010View attachment 2060011View attachment 2060012
View attachment 2060013
Mwanamuziki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo François Lulendo Matumona, maarufu General Defao amezikwa leo Jumamosi katika mazishi ya kitaifa.

Defao alifariki mwezi Disemba mwaka jana katika hospitali Laquintinie huko Douala, Cameroon, ambako alikuwa akipokea matibabu.

Jamaa zake wanasema mwanamuziki huyu hakuacha mtoto lakini ameacha nyuma vito vya dhahabu vya thamani ya dola 260 za Kimarekani (mikufu ya dhahabu aliyokuwakuwa akivalia shingoni).

Wanamuziki wenzake na mashabiki wake waliohudhuri mazishi hayo wakiwa wamevalia mavazi za bei ghali wakidai pia Defao alikuwa mmoja wao, na wanafanya maonesho ya mavazi.
Pia alicheza kwa muda mfupi na Fogo Stars na Somo West kabla ya kujiunga na Grand Zaiko Wawa na baadaye kuwa sehemu muhimu ya Choc Stars.

Ilikuwa katika kipindi hiki ambapo Defao aliboresha ustadi wake wa uimbaji na uandishi wa nyimbo, akifanya kazi na watu wa nyumbani wakati huo kama Ben Nyamabo na Bozi Boziana.

Defao, katika azma yake ya kujitengenezea nafasi nzuri, aliachana na Choc Stars kuelekea mwisho wa 1990 na kuunda Big Stars na Djo Poster.

Hata hivyo, mambo hayakwenda kulingana na mipango yake na alilazimika kutafuta wanamuziki wapya baada ya Djo kuondoka.

Katikati ya miaka ya 90, Defao alikuwa tayari akitishia kufuta majina maarufu kama Koffi Olomide na Bozi Boziana kutoka ulingo wa muziki lakini hakufaulu kupata umaarufu nje ya nchi.

Zaidi soma
Dola 260 = Tsh 598,000. Amekufa kwenye umasikini wa kutisha.
 
Hamnaaa baaanaaa. Ndio nani huyu? Nataka maelezo ya kina umri, familia, jinsia haya yote Lazima nijulishwe.

Sauh'waaah?!
Kama unauliza ndio nani rudi usome tena ila kama unataka historia yake basi Subiri inakuja.

Lakini kabla jua machache haya
Francoise Lulendo Matumona a.k.a General Defao aliyezaliwa Kinshasa mnamo Disemba 31, 1958, alianza kuimba mwaka wa 1978 kama sehemu ya Orchester Suka Movema.
Mwimbaji huyo wa Sala Noki atakumbukwa sana kwa sauti yake nzuri na miondoko ya dansi ya ambayo ilivutia wengi.
 
Kwa hiyo pesa alikua anahonga na kujichubua tu?
 
Inakuwaje hajaacha mtoto? Nilikuwa namkubali sana huyu jamaa pamoja na Wakongomani wenzake walioimba muziki wa Soukouss miaka ile ya tisini.

Ilikuwa ni raha tupu! Kuanzia yeye mwenyewe Jenerali Defao, Pepe Kalle, Aurlus Mabele, Bozi Boziana, Yondo Sister, Wenge Musica, Extra Musica, Allain Koukou, na wengineo wengi!
 
Back
Top Bottom