Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtoa mada akisena 260
Jah BlessKwa niaba yake 🙏🏿🙏🏿🙏🏿 amina
Bora alivyokufa bila kuacha mtoto, we fikiria babaako mtu maarufu kama Defao anakufa anakuachia urithi dola 260. Sijui msingi wa mitumba? Mweh!
[emoji1787]RIP Legendary. Nakumbuka miaka ya 1990s alikuja TZ halafu baada ya show host wakamtelekeza.akahifadhiwa na jimama flani Mtoni Kwa Aziz Ally. Nahisi hapo ndipo alipozoa virusi. Ila ka-survive kitambo
Anaipataje hyo hasara mtu kashajipumzikiaKwamba Tsh 600,600/= hela alikuwa hana hata watoto hana hii ni hasara kubwa sana kwake.
Lazima atakuwa aliendaa maana nasikia yeye ndio alikuwa akimla urodaHivi yule aliyekuwa mkurugenzi wa shirika moja la umma hakwenda kumzika Defao
TanganyikaShirika la umma la wapi
Fungus code mzee...Tanganyika