Mazishi ya Rais wa Falme za Kiarabu

Binafsi huwa siafiki ujenzi wa kaburi kulijengea, watu wote tukijengea kaburi ni kumaliza nafasi. Unless labda ule ujenzi kama wa wazungu..ila huu wa kikawaida unakula nafasi na kuwanyima wengine nafasi ya kuzika.
Ndio hoja hii sasa, ila sio Dhambi kujengea.
 
Sema ndio hivyo kwasababu ni mtu mkubwa bila shaka amefanyiwa vipimo vyote na kuhakikisha amekufa kweli

Ila huku kimtaa mtaa ukazimia masaa matano usitingishike utajikuta chafya imekubana ukiwa ndani ya kaburi
Wewe ni muongo!
 
sisi kuna mambo ni lazima yafanyike kwa haraka sana yanapotokea
ndoa
kifo
mwenye kuslim
Lakini madam kwenye kuharakisha kuzika hauoni wakati mwingine tunawazika waliozimia? Kwanini basi isiwe vema kujiridhisha kwanza kupitia wataalam wa afya? Maoni yangu
 
Lakini madam kwenye kuharakisha kuzika hauoni wakati mwingine tunawazika waliozimia? Kwanini basi isiwe vema kujiridhisha kwanza kupitia wataalam wa afya? Maoni yangu
ukiona had mtu anazikwa hivo ujue walishathibitisha amefariki
 
Ni ngumu kukuelewa hao athari za utumwa zimewakaa sawasawa hadi wanakera sisi kwetu mbona wapo wanaozikwa bila sanduku tena kumstiri ni kumzungushia mikeka na udongo unafuata.wema na ubaya wako vinahusiana vipi na uzikaji mbele za MUNGU?
 
nadhani hili suala kuhusu mazishi ni kuhusu mtu na familia yake na uwezo wao, Haya mazishi nimefuatilia sana kwenye TV za uarabuni. jamaa kazikwa kifalme ma msafara wa kifalme ma wanajeshi kede kede, kusema gharama zimekwepwa ni uongo,.hadi Nyumbani Kwake kulikuwa na memorial iliopokea viongozi kutoka dunia nzima, kwa hivyo sioni kama Kuna mfano wowote, utazikwa ulivoishi. Pi nijuavyo ni kwamba wenzetu huzika ndani ya masaa 24 sababu ya kukwepa gharama na hali yeyote ya sanitary isiwakute kutokana na kukaa na marti muda mrefu ..mana sharia law inaruhusu mwili kubaki kufanyiwa uchunguzi zaidi incase kama marehemu inahisiwa kauliwa
 
Pale uwanjani wakati wa Kuaga, kuna familia ilipoteza wapendwa wao 4 sababu ya kukanyagana pasipo sababu, eti kisa kuaga Maiti .

Mambo ya ajabu sana,unatoka huko kwako mzuka kibao eti unawahi kuaga maiti ,matokeo yake na wewe unakuwa maiti.
Vipi na wale wanaoumia na kuuawa wakati wa kumpiga sheitwani na mawe?kumbe sheitwani inawezakana kumpiga jiwe?!
 
Sio UTAMADUNI ni SHERIA ZA DINI YA KIISLAM.
Utamaduni wa eneo moja lazima utofautiane na wa eneo jingine. Huko Uarabuni kuna nchi kibao na ziko mbalimbali si Rahisi kufanana Tamaduni ikiwa hapa TZ tu hatufanani tamaduni baina ya makabila.
Si huwa mnasema Yesu alikuwa mwislam, haya tuambie mazishi yake, kaburi lake ni sawa hiki kituko?
 
Brother, usitake tufuate desturi ulizoamua wewe

♦️Wahindi wanachoma na maisha yapo poa wamebarikiwa kiuchumi kuliko hata sisi

♦️ Wajaluo wanakaa hadi mwezi wskicheza ngoma na kufurahi kabla ya kuzika maisha yapo poa

♦️ Yesu ambaye wakristu wanamfuata kaburi lake lilichongwa kwenye mwamba na likawekewa mlango wa jiwe na ilikuwa desturi zao siku ya tatu watu wanakwenda kumpaka mafuta ni mila zao mambo yapo poa

♦️ Kuna makabila hapa bongo wanaviringishshwa kwenye mikeka, ngozi na wengine wanazikwa wamekalishwa kwenye kigoda mambo poa

♦️Hivyo msilete hizo mila za kiarabu muone kwamba ni jambo la ajabu saana. Kila jamii ina theories na misimamo tofauti kuhusu kifo na maziko

♦️Kama wewe umeamua kuchagua hizo mila za kukamuliwa nya kana kwamba unaweza kuiondoa yote mwilini, kana kwemba ukifika kaburini funza haeakufanyi mzoga ndani ya sekunde ni ninyi bosi

♦️Yote kwa yote ishi vizuri duniani na binaadamu mwenzako usimtende u aya wowote kwa kisingizio chochote, mema yako ndio yatakupeleka mbinguni na sio umezikwa vipi au unaangalizwa uelekeo gani
 
Kumuua mtu aliemtukana mtume na Allah ni Sheria katika uislam hata kama atatubia so atujal kafir kama wewe unabwekaje
 
Mbona hawajampeleka makao makuu ya nchi, mbona hawajampeleka visiwani, mbona hawajampeleka mji alizaliwa, mbona hajapigiwa mizinga21? Africa tuna mbwembwe sana
Kila din na tamaduni zake usifosi tufanane, coz huwezi kubadilisha kitu ndivyo ilivyo miaka na miaka hivyo tu
 
Sio TAMADUNI bali SHERIA ZA DINI YA KIISLAM, DUNIA NZIMA, AU UKIFA USICHELEWESHWE KUZIKWA, LABDA ITOKEE DHARULA.
Na sisi wakristo utamaduni wetu ni kusubiri ndugu na kuaga na kuzika kwahiyo hatufanani kila mtu afate chake tu
 
Acha kuongea kwa jazba wewe kuataili ni utamaduni wa kikristo , na suti na magauni ni utamaduni wetu mtuache nyie wenu mikanzu na nikab au hijab mbona tunagombaniana suti zetu tena??!! Tena hata harusi zenu siku hizi eti nanyie mnavaa suti??!!fateni tamaduni zenu hata jeans tu sio utamaduni wenu😂😂🤣🤣
 
Sema ndio hivyo kwasababu ni mtu mkubwa bila shaka amefanyiwa vipimo vyote na kuhakikisha amekufa kweli

Ila huku kimtaa mtaa ukazimia masaa matano usitingishike utajikuta chafya imekubana ukiwa ndani ya kaburi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo kazikwa kulingana na tamaduni za kwao, kila nchi Ina tamaduni zake, na kila dini pia ni upungufu kudhani tamaduni yako ndiyo Bora na inayotakiwa kuigwa na kila mtu.
 

Mbona umemalizia kwa hasira
We umejiona mjanja hapo eti

Huyo mzee alikuwa mgonjwa mda mrefu sana hakuonekana hadharani
Kuna tatizo akipumzika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…