Mazishi

Mazishi

Ninajua kwa sababu nimekulia kwenye jamii inayoamini katika mizimu. Nilikuwa na maswali mengi sana kuhusu ulimwengu wa roho unavyofanya kazi. Hadi nilipoupokea WOKOVU na kujazwa Roho Mtakatifu ndipo nikaanza kupokea majibu ya maswali hayo kwa namna isiyokuwa ya kawaida.

Ninamshukuru Mungu kwa sasa ninamjua Mungu na shetani pia ninamfahamu - (Kwa kifupi ulimwengu wa roho ninaujua vilivyo)
Nisaidie tuelewa
 
Back
Top Bottom