maziwa madogo (matiti)

maziwa madogo (matiti)

Nyakwaratony

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2011
Posts
573
Reaction score
140
habari za asubuhi wapendwa,naomba ushauri / msaada. mimi nina maziwa madogo ya kuna nguo nikivaa usinitilia maanani unaweza kudhan hayapo. napenda maziwa makubwa. hivi naweza kula vyakula gani ili yaongezeke au nifanyeje.
tafadhali dawa za kichina sizitaki. . .
 
Mmh! can we meet in person pliz, I guess I can help u in this..!
 
njia moja wapo ni matiti yakishikwashikwa na kutomaswa na mikono ya mwanaume huwa yanaongezeka! na yakinyonywa pia!
 
habari za asubuhi wapendwa,naomba ushauri / msaada. mimi nina maziwa madogo ya kuna nguo nikivaa usinitilia maanani unaweza kudhan hayapo. napenda maziwa makubwa. hivi naweza kula vyakula gani ili yaongezeke au nifanyeje.
tafadhali dawa za kichina sizitaki. . .

Kamata ujauzito, tatizo kwisha.
 
THIS IS A GENETIC MAKEUP, naona wengine wanatoa ushauri wa mtaani. Ila hili suala ni biological issue. May be kama utaonana na madaktari bingwa wa wanawake wakakupa ushauri mzuri zaidi...
 
Ili yakuwe yanahitaji kutomaswa sana na kunyonywa hiyo ndio dawa
 
habari za asubuhi wapendwa,naomba ushauri / msaada. mimi nina maziwa madogo ya kuna nguo nikivaa usinitilia maanani unaweza kudhan hayapo. napenda maziwa makubwa. hivi naweza kula vyakula gani ili yaongezeke au nifanyeje.
tafadhali dawa za kichina sizitaki. . .

Kwanini kujitafutia matatizo? boyfriend wako amekubaliana na wewe kwamba utafute artificials? au ndo mmeshamwagana naye. Ni kwani hamjiamini na uumbaji wa Mungu nyinyi wakina mama? wewe umeshaambiwa ni hormone hizo, sasa bado unatfuta kumchallenge Muungu aliyekuumba kwa kutafuta artificial (mchina)? wewe un bahati lkn sasa unajitafutia matatizo.

Mimi nakushauri ujiamini na umshukuru Mungu wako kwa uumbaji wake kwako na usonge mbele na maisha. Achana na tabia ya kujirundukia artificials mwilini,ipo siku utakuja ujutie. Pia, vitu vingine ni logic tu na wala huitaji kuja hapa jamvini, kwani hapa kuna watu wa kila aina. Wapo wasiojali matokeo ya kile wanachokushauri kwani huo utakuwa ni mzigo wako. Ni bora uwe na amani, na kikuu ni kwamba UJIAMINI na uachane na maisha ya kuigiza hayo.
 
Kweli shukuru MUNGU wenzako wanayatafuta hayo hawayapati utajaambulia Nido hai tumboni ukose sidiria
 
unaweza kuleta na picha ili tujadili kitu wakati tumeona ukubwa wake.....
 
Back
Top Bottom