Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
habari za asubuhi wapendwa,naomba ushauri / msaada. mimi nina maziwa madogo ya kuna nguo nikivaa usinitilia maanani unaweza kudhan hayapo. napenda maziwa makubwa. hivi naweza kula vyakula gani ili yaongezeke au nifanyeje.
tafadhali dawa za kichina sizitaki. . .
tafadhali dawa za kichina sizitaki. . .