maziwa madogo (matiti)

maziwa madogo (matiti)

U are so beautiful just the way u are
A%20S-rose.gif
 
Yap,am back, what's ur comment on the topic? How did u do to enlarge yours? Plse, help your mate.
ukishakuwa mama yanakuja tu yenyewe na saiz uliyojaliwa utakuja kuua watoto bure kwa kupaka mchina au makansa bure
 
Nitafute nikupe njia simple ya kuyapuliza yanaongezeka na kuwa makubwa
 
Mimi nina matiti madogo na nayapenda sana. Nina watoto wawili lakini nalazimika kuvaa sidiria tu kwa kuwa watu wanasema nawachokoza; lakini hata size nayotumia ni ya 'my first bra'.

Jipende dada na watu watakupenda.
 
my dia pole kwa tatizo
lako,njoo kwetu huku bukoba kuna wadudu wanapatikana mtoni ukiwaweka
kwenye matiti wakikuuma tu basi linakuwa kuubwa na tatizo lako litakuwa
limetatulika kama vipi ni pm ntakupa maelezo zaizi...

100% sure huyu mdudu anaitwa ENYOGOLOIZI
 
Mbona wanawake hamridhiki na maumbile niliyopewa na Mungu jamani badilikeni dada zangu mtajuta baadaye.
 
nimeusoma labda akijifungua ndo yataongezeka ila kwa sasa hamna kitu kwa kweli........au kwa sababu ana tumbo kubwa ndo mana maziwa yanaonekana yapo hivyohivyo?

Yataongezeka, kwani anachukiza nini? Mbona wanaume wengi hawapendi nido hivyo ndivyo safi hata upande wa mavazi anakuwa vizuri(anapendeza) au we unamwonaje?
 
Yataongezeka, kwani anachukiza nini? Mbona wanaume wengi hawapendi nido hivyo ndivyo safi hata upande wa mavazi anakuwa vizuri(anapendeza) au we unamwonaje?
wala hachukizi maziwa yake yameendana na mwili wake..............ila mlivyosema akiwa na mimba yanaongezeka ndo hapo utata ulipoanzia.
 
ushauri wangu rizika na ulichonacho, ukipata hayo makubwa yatasaidia nini? (VIPI UMEPATA TENDA YA SUPPLY YA MAZIWA?) kama unaweza pata mtu aliyenayo hayo makubwa na umri umepita atakuelewesha zaidi

Rizika na hako kadogo ndio uzuri wako
 
Kwanini kujitafutia matatizo? boyfriend wako amekubaliana na wewe kwamba utafute artificials? au ndo mmeshamwagana naye. Ni kwani hamjiamini na uumbaji wa Mungu nyinyi wakina mama? wewe umeshaambiwa ni hormone hizo, sasa bado unatfuta kumchallenge Muungu aliyekuumba kwa kutafuta artificial (mchina)? wewe un bahati lkn sasa unajitafutia matatizo.

Mimi nakushauri ujiamini na umshukuru Mungu wako kwa uumbaji wake kwako na usonge mbele na maisha. Achana na tabia ya kujirundukia artificials mwilini,ipo siku utakuja ujutie. Pia, vitu vingine ni logic tu na wala huitaji kuja hapa jamvini, kwani hapa kuna watu wa kila aina. Wapo wasiojali matokeo ya kile wanachokushauri kwani huo utakuwa ni mzigo wako. Ni bora uwe na amani, na kikuu ni kwamba UJIAMINI na uachane na maisha ya kuigiza hayo.
Tangu niliposoma post yako kwa yule kijana mwenye Masterz na hana kazi niligundua kwamba wewe ni great thinker na hazina kubwa kwa Taifa. Kwanini JK hawatumii watu kama hawa kwa ushauri na badala yake amewang'ang'ania kina Dr Ndumbaro na Mwinyimvua mpaka anashindwa kuhutubia mwisho wa mwezi? Ubarikiwe sana Mkuu
 
habari za asubuhi wapendwa,naomba ushauri / msaada. mimi nina maziwa madogo ya kuna nguo nikivaa usinitilia maanani unaweza kudhan hayapo. napenda maziwa makubwa. hivi naweza kula vyakula gani ili yaongezeke au nifanyeje.
tafadhali dawa za kichina sizitaki. . .
OOOOOh my dear how old are you?
 
Hayo ndiyo maumbile yako ya asili, unachotakiwa ni kukubaliana na hali uliyokuwa nayo na mpenzi wako pia akubaliane nayo.
Faida kubwa ni vigumu sana kulala kama kandambili pindi utakapojifungua watoto hapo utakapobarikiwa kuwapata.
 
Back
Top Bottom