Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You can't change the nature dada!jikubali hayo ni maumbile kama yalivyo mengine.
hv mtu akitaka kupunguza ukubwa wa maziwa afanyaje bila kudisturb umbile lake la chini.
usipunguze, idadi ya wake, maana kuna watu choice zao ni wake wenye maziwa makubwa, sasa ukipunguza ukubwa wa maziwa utawafanya wenzako wakose wake.
Ndio maana Watanzania maendeleo yanatupiga chenga.
Unatakiwa control nature iendane na matakwa yako, sio ujipweteke uache nature ishike hatamu
Kwa hiyo kufanyiwa plastic surgery ndio maendeleo na ku- control nature....???Haya maendeleo yatatuua mwaka huu...
Hata kwa mtutu sikubali wacha nibaki nayo makubwa...
Shimboni line?Kimsingi kuweza ku-control nature ndio msingi wa maendeleo.
Unajenga nyumba na paa na milango na madirisha kwa ajili ya ku-control nature na yatokanayo
Kufanyiwa plastic surgery ni njia moja wapo ya ku-control nature kufanya maisha yako better. Maziwa makubwa yaliyopitiliza yanasabisha maumivu ya mgongo hivyo, zaidi ya yote ni maradhi kama maradhi mengine
Na hata ingekuwa sio maradhi ni urembo, sioni kwa nini kuwe na tatizo kwa maziwa wakati watu wanafanyiwa utaratibu wa kutengenezwa meno, au mabaka ya ngozi na isiwe tabu.
Shimboni line?
He! Kwani vina uhusiano??!hv mtu akitaka kupunguza ukubwa wa maziwa afanyaje bila kudisturb umbile lake la chini.
Ndio maana Watanzania maendeleo yanatupiga chenga.
Unatakiwa control nature iendane na matakwa yako, sio ujipweteke uache nature ishike hatamu
kati ya mapoyoy wewe unaweza kuwa mmoja wao tena poyoyo hasa. you can never change the nature, the only thing you can do is to conserve nature.
kamuulize Michael Jackson a.k.a wako jaco kilichomtokea ni nini baada ya kubadili muonekano wake, na pua!! haa alikuja kuzaa mtoto ni mweusi mkaa una afadhali, na ana pua ya kibantu haswaaaaa - thats nature
waulize wanaojaribu kujichubua na vipodozi lukuki, kila siku wanatahadharishwa na side effects zake, matokeo yake wote tunayajua - thats nature, huwezi kubadili rangi ya ngozi yako
cheki wanao pigwa 0173 - matatizo yake ni obvious kwasababu its against nature
naweza kukupa mifano hapa na kibaha
lakini yote kwa yote, a scientist of all ages Albert Einstern anasema "the only way of understanding the world is to understand the nature, and live it"
so never change the nature, be proud of how you are. kuna watu wanachoma sindano yake makubwa
kati ya mapoyoy wewe unaweza kuwa mmoja wao tena poyoyo hasa. you can never change the nature, the only thing you can do is to conserve nature.
kamuulize Michael Jackson a.k.a wako jaco kilichomtokea ni nini baada ya kubadili muonekano wake, na pua!! haa alikuja kuzaa mtoto ni mweusi mkaa una afadhali, na ana pua ya kibantu haswaaaaa - thats nature
waulize wanaojaribu kujichubua na vipodozi lukuki, kila siku wanatahadharishwa na side effects zake, matokeo yake wote tunayajua - thats nature, huwezi kubadili rangi ya ngozi yako
cheki wanao pigwa 0173 - matatizo yake ni obvious kwasababu its against nature
naweza kukupa mifano hapa na kibaha
lakini yote kwa yote, a scientist of all ages Albert Einstern anasema "the only way of understanding the world is to understand the nature, and live it"
so never change the nature, be proud of how you are. kuna watu wanachoma sindano yake makubwa
Kimsingi kuweza ku-control nature ndio msingi wa maendeleo.
Unajenga nyumba na paa na milango na madirisha kwa ajili ya ku-control nature na yatokanayo
Kufanyiwa plastic surgery ni njia moja wapo ya ku-control nature kufanya maisha yako better. Maziwa makubwa yaliyopitiliza yanasabisha maumivu ya mgongo hivyo, zaidi ya yote ni maradhi kama maradhi mengine
Na hata ingekuwa sio maradhi ni urembo, sioni kwa nini kuwe na tatizo kwa maziwa wakati watu wanafanyiwa utaratibu wa kutengenezwa meno, au mabaka ya ngozi na isiwe tabu.