Maziwa/matiti kusinyaa

Wai....sijadili hii kitu...nitamkosea adabu mama yangu! Ana wajukuu sasa...
Me too!hebu niepuka hii laana nyemelezi ya kujitakia!mwishowe wataanza kujadili videvu msasa vya baba zetu!silver hair na kila kitu!
 

We endelea tu, kkinachofata utataka mashoga hao yamesimama kutwa!
 
sio kweliii..ni kunyonywa sanaaaaaa...hapo hakuna suala la genetics wala genes...fanya simpo reserch utaona mwenyewe.

SIKUBALIANI NAWE JAPO SINA SABABU. WENGINE HATA HAHAJAWAHI KUNYONYWA NA TAYARI YAMELEGEA mimi49 NADHANI YUPO SAHIHI. HUJAWAHI ONA HATA MTOTO WA PRIMARY YAMELEGEA?
LABDA UNIAMBIE SIZE INA MATTER PIA.
HAYO YA MAJUU YANATENGENEZWA HATA KWA MAUMBILE WAONA SI HALISIA KABISA ILA WACHACHE NI KWELI.
JAPO YAWEZA KAA VYEMA KWA MAZOEZI. The Boss UMELIKE NINI HAPO?
 
Chocs mbona nilisikia kuna kampeni imeanzishwa kuhimiza wanawake kuacha kuvaa bra kwani zinachangia kwa kiasi kikubwa kansa ya maziwa.sasa hii kampeni ikipamba moto itakuwaje? maana duu kweli wengine japo yako ndani ya bra lakini ni kama umoja...:faint2:
Wee chezea,bra zikifichwa hata kazini huendi..lolest
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa mbona tutaandamana:shocked:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…