asante cha pombe mwenzangu, na ukitaka kukata hamu ya kunywa je?
Meza vidonge[/QU
vidonge vipi hivyo?
Nilikuwa naamini hvyo lakini si kweli hasa kwenye ndizi mbivu, we kunywa viroba vyako harafu fakamia mandizi uone km harufu itakata we hautaisikia ila jua utakuwa unatia aibu tu, Jishuku!!!!
asante cha pombe mwenzangu, na ukitaka kukata hamu ya kunywa je?
kunguni mmoja msage muweke kwenye glass ya pombe, na si pombe hata madawa ya kulevya, sigara na hata bhangi weka unga wake kwenye kichungi halafu vuta kama kawaida. ukifanikiwa kumaliza huo ndo utakuwa mwisho wako wa kutumia kilevi cha aina yoyote ile