Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
Habari za mchana
Naomba kujua maziwa mtindi yananenepesha au kukondesha nimeanza kunywa hivi karibuni nataka niwe natumia permanently kila siku. Nataka nijue kama yanakondesha au Lah maana sitaki nikonde naupenda mwili wangu.
Naomba kujua maziwa mtindi yananenepesha au kukondesha nimeanza kunywa hivi karibuni nataka niwe natumia permanently kila siku. Nataka nijue kama yanakondesha au Lah maana sitaki nikonde naupenda mwili wangu.