Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapananitumie picha yako pm nione mwili wako kwanza halafu ndo nikushauri ufanye nini.. swala la afya linahitaji umakini sana dada angalia usije ukanenepa ukawa kitutufe!
Dada swali lako ni mind games lakini kukukondesha no thank you na kingine too much is harmful iyo kila siku dada yangu baadae utakomaHabari za mchana
Naomba kujua maziwa mtindi yananenepesha au kukondesha nimeanza kunywa hivi karibun nataka niwe natumia permanently kila siku ...nataka nijue kama yanakondesha au Lah maana sitaki nikonde naupenda mwili wangu
Hapo pia ndo paliponichanganya nikaone niulizeNimewahi kusikia yananenepesha. Ila zipo makala zinasema ni mazuri kwa watu wanaopunguza uzito
Siwez Fika ukooUtakuwa kibonge
Nlifanya ivoUyachemshee halafu utoe ila siag ya juu uyagandishe
Mkuu fanya yote ila jitahidi usipate kitambiMaziwa yote yana fati ambayo huongeza mwili na kitambi kwa hiyo tarajia kunenepa na uzito kuongezeka lakini pia kitambi flani hasa kama sio mtu wa mazoezi
Nimeyanywa na niliona matokeo yake
Nashukuru Mungu Niko flat sana na inatokana na mazoezi na mpangilio (japo sio mkubwa) wa chakulaMkuu fanya yote ila jitahidi usipate kitambi
Ukinywa Kwa mpangilio Gani unanenep
Aiseee wewe ulitishamtindi unanenepesha.
nilikua nakunywa mchanganyiko wa mtindi parachichi,ndizi mbivu na siagi ya karanga.
washkaji waliponipa jina la mtoto wa tembo nikaacha kunywa.
Sitaki nipungueKupungua tumia yale low fat.
Nataka nimaintain kilowewe unataka kunenepa kwa muda gani?
Nchi ina vijana wa hovyo sana🤣🤣Yana nenepesha kwa kukukondesha
Ahahahahah ila walioshika msukani ni wazee wa hovyo wakitetewa na mtetezi wao GrahamsNchi ina vijana wa hovyo sana🤣🤣