😁😁😁Unakiambia kizazi hichi kinachokulana uchi! Mbona maziwa kitu kidogo tu..😂
Hii lugha tulioishia darasa la pili C umetuachaMaziwa direct kutoka kukamuliwa kwa ng'ombe au mbuzi ukiyanywa bila kuchemsha ndio hatari kwa afya ya binadamu sababu huwa yana vidudu vidogo (waliofanya biology au medicine wanatambua) ambavyo havifai kwa miili yetu. Mara nyingi ng'ombe au mbuzi wakiwa wagonjwa, maziwa mpaka uchemshe vizuri sana.
Raw milk can carry dangerous bacteria such as Salmonella, E. coli, Listeria, Campylobacter, and others that cause foodborne illness, often called “food poisoning.” These bacteria can seriously injure the health of anyone who drinks raw milk or eats products made from raw milk.
Milk and milk products provide a wealth of nutrition benefits. But raw milk, i.e., unpasteurized milk, can harbor dangerous microorganisms that can pose serious health risks to you and your family.
According to the Centers for Disease Control and Prevention (CDC), from 1993 through 2012, there were 127 outbreaks linked to raw milk or raw milk products like ice cream, soft cheese, or yogurt. They resulted in 1,909 illnesses and 144 hospitalizations. CDC points out that most foodborne illnesses are not a part of recognized outbreaks, and for every illness reported, many others occur.
Raw milk is milk from cows, sheep, and goats — or any other animal — that has not been pasteurized to kill harmful bacteria. Raw milk can carry dangerous bacteria such as Salmonella, E. coli, Listeria, Campylobacter, and others that cause foodborne illness, often called “food poisoning.”
These bacteria can seriously injure the health of anyone who drinks raw milk or eats products made from raw milk. However, the bacteria in raw milk can be especially dangerous to people with weakened immune systems (such as transplant patients and individuals with HIV/AIDS, cancer, and diabetes), children, older adults, and pregnant women. In fact, CDC finds that foodborne illness from raw milk especially affects children and teenagers.
Weupe wa maziwa usikufanye ukahisi yapo salama hivyo. Yanaweza yawe safi lakini si salama, hapa nazungumzia uwepo wa vimelea vya magonjwa, kama bacteria na virus kwa maziwa hayo.Hii lugha tulioishia darasa la pili C umetuacha
Ooh kumbe nilikua nakosea kugandisha maziwa bila kuchemshaWeupe wa maziwa usikufanye ukahisi yapo salama hivyo. Yanaweza yawe safi lakini si salama, hapa nazungumzia uwepo wa vimelea vya magonjwa, kama bacteria na virus kwa maziwa hayo.
Kuanzia uvunaji wa maziwa, uhifadhi na hata wavunaji wenyewe huweza kuleta vimelea humo. Hapa sija zungumzia magonjwa na vimelea vinavyobebwa na ng'ombe mwenyewe kutoka katika chakula, malazi , magonjwa n.k.
Hata kupata kifua kikuu inawezekana, maana vimelea vya TB vinaweza patikana ata katika maziwa, kama ng'ombe au mbuzi anaumwa tb. Pia kuhara kwa sababu maziwa huvutia bacteria wengi kuishi ndani yake, so sio poa kunywa bila kuchemsha hata kiasi maana bacteria wengi hufa kwa joto la kawaida na ukiyachemsha hakuna vitamini itapotea kwa hayo maziwa.
Ooh kumbe nilikua nakosea kugandisha maziwa bila kuchemsha
Ushawahi pata food poisoning wewe, hungemwambia hivyo. Chemsheni maziwa baada ya kuyakamua, period. Mengine ni kujitakia!Wanakutisha tu, tungeshakuzika kitambo. Napenda lile ganda/ utando wa juu kwenye maziwa mgando, tukiwa wadogo unalilia timing unalila kipande kidogo unamrushia paka kumuuzia kesi.
Sie wakati huo maziwa yanakamuliwa kwa ng'ombe bado ya moto unayapiga kwenye kipeyu bado yanatoa ule moshi
Ha haaa mbona paka alikoma kwa kesi za kusingiziwa jamaniWanakutisha tu, tungeshakuzika kitambo. Napenda lile ganda/ utando wa juu kwenye maziwa mgando, tukiwa wadogo unalilia timing unalila kipande kidogo unamrushia paka kumuuzia kesi.
Sie wakati huo maziwa yanakamuliwa kwa ng'ombe bado ya moto unayapiga kwenye kipeyu bado yanatoa ule moshi
(waliofanya biology au medicine wanatambua)
unpasteurized milk, can harbor dangerous microorganisms that can pose serious health risks to you and your family.
Madhara yepi!?Mwana jamvi, pengine unahisi nimekosea. hapana sijakosea iko hivi, wengi tunatambua maziwa kama agent wa kuua sumu mwilini, hasa pale mtu anapozamilia kujitoa uhai akanywa sumu tunamuwahi kwa maziwa. Hiyo ni faida ndogo sana ukilinganisha madhara u anayoyapata kwa kutumia maziwa mara kwa mara.
Nawasilisha.