Maziwa, tende na hurba

Tumieni halafu mtuletee mrejesho maana hizi dawa za mimea bila vipimo maalumu unaweza tumia ukashangaa jogoo kapanda mtungi vizuri halafu anagoma kushuka...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu tumia tu mi ndo marejesho nimeyatoa kupia kuuandika huu uzi...iko vizur hii
 
Hata usipoweka hiyo Hurba, Maziwa na Tende pekee pia inasaidia sana! Wanaume acheni kunywa soda kunyweni vinywaji vinavyoeleweka

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kunywa soda sio tatizo ila uwe unatumia vitu vya kuflash sumu ya soda mfano, ndimu ,limao nk weka tone kwenye chai, maji au kinywaji chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usinywe kitu kama dawa,kunywa kama kinywaji chako cha kawaida! Nikwambiacho hicho ni kinywaji cha kawaida kwa ajili ya mume wangu huwa namsagia tende kwa Maziwa anakunywa safi,ni kinywaji si dawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya umchanganyie na hurba itamsaidia kusafisha kibofu na kutanua zaid misul yake so mzunguko wa damu utakuwq mzur kwake
 
Ila sio kila mwenye tatizo la nguvu za kiume dawa yake ni msosi.
Wengine wanahitaji msaada wa kiasaikolojia zaidi kutokana na mfadhaiko kwa mambo mbali mbali.
Usitibu tatizo ikiwa hujui chanzo cha tatizo.

Hans Pol
 
Ila sio kila mwenye tatizo la nguvu za kiume dawa yake ni msosi.
Wengine wanahitaji msaada wa kiasaikolojia zaidi kutokana na mfadhaiko kwa mambo mbali mbali.
Usitibu tatizo ikiwa hujui chanzo cha tatizo.

Hans Pol
Sawa mkuu..ni kwel pia
 
Hiii ni kweli nilishatumia kitu kinaenda vzur game za kutosha bila waswas
 
vp kuhusu sisi tulioathilika na upigaji punyeto, itatufaa hii tiba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…