maziwa ya ng'ombe ni dawa?

samilakadunda

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2011
Posts
1,780
Reaction score
355
naomba tujadili juu ya maziwa ya ng'ombe, watu wenge husema,mtu akinywa sumu maziwa huweza kumsaidia akapona, pia mtu anayefanya kaza mahali penye vumbi,moshi,kamavile viwanda vya tumbaku etc! Naomba kujuzwa na wataalam wa afya,je maziwa ni dawa au kinga??
 
Kwa uelewa wangu ni kwamba maziwa hayana effect kwenye sumu bali yana-delay/retard absorption of poison from the intestines.
 

Nitake radhi mzizi mkavu mimi sio binti! Kutokea kwa thread tatu ni network problem kwa ilikua inaonyesha not responding nilipojaribu kuresand ndio ikatokea hivo,je nawezaje futa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…