samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 355
naomba tujadili juu ya maziwa ya ng'ombe, watu wenge husema,mtu akinywa sumu maziwa huweza kumsaidia akapona, pia mtu anayefanya kaza mahali penye vumbi,moshi,kamavile viwanda vya tumbaku etc! Naomba kujuzwa na wataalam wa afya,je maziwa ni dawa au kinga??