Mazoea yamezidi Ofisi za Umma

Mazoea yamezidi Ofisi za Umma

Nkulu wa nchito

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2019
Posts
1,112
Reaction score
1,429
Hizi ofisi za Serikali siku hizi mambo yamerudi vile vile kama zamani sikuwahi kuombwa rushwa leo nimeombwa rushwa watumishi wanafanya kazi utafikiri za baba zao.

Kweli mtu nimetuma barua toka mwezi wa tatu kila ukienda haijajibiwa kumbe kuna mtu kaweka barua pembeni kisa anataka rushwa sasa si angeniambia kipindi kile kile ningekuwa nishampa hiyo rushwa.

NB: Watumishi tufanye kazi kwa weredi jamani utakuta mtu kitu ni cha kukaa saa moja lkn watakuweka hata saa sita siyo fair inakera sana.
 
Acha uzembe mkuu, Ungetoa taarifa TAKUKURU alafu huku ungekuja kututaarifu jinsi ulivyomkamatisha huyo mpuuzi.

If it can be done..play your part.
 
Acha uzembe mkuu, Ungetoa taarifa TAKUKURU...alafu huku ungekuja kututaarifu jinsi ulivyomkamatisha huyo mpuuzi.

If it can be done..play your part.
Issue ya kuripoti takukuru ni sawa, ila unahitaji muda kuacha hiyo kazi yako uanze ku deal na case.
Sasa mtu barua imekwama unaihitaji haraka sasa mtu wa kushughulikia ndo unampeleka korokoroni halafu urudi kushughulikia barua yako!
Kwa enzi hizi za kula kwa urefu wa kamba yako utapata tabu sana kupata huduma.
 
Issue ya kuripoti takukuru ni sawa, ila unahitaji muda kuacha hiyo kazi yako uanze ku deal na case.
Sasa mtu barua imekwama unaihitaji haraka sasa mtu wa kushughulikia ndo unampeleka korokoroni halafu urudi kushughulikia barua yako!
Kwa enzi hizi za kula kwa urefu wa kamba yako utapata tabu sana kupata huduma.
Kweli kabisa
 
Wanakera sana harafu wanawafanyia mpaka watumishi wenzao wa umma
 
Hizi ofisi za Serikali siku hizi mambo yamerudi vile vile kama zamani sikuwahi kuombwa rushwa leo nimeombwa rushwa watumishi wanafanya kazi utafikiri za baba zao.

Kweli mtu nimetuma barua toka mwezi wa tatu kila ukienda haijajibiwa kumbe kuna mtu kaweka barua pembeni kisa anataka rushwa sasa si angeniambia kipindi kile kile ningekuwa nishampa hiyo rushwa.

NB: Watumishi tufanye kazi kwa weredi jamani utakuta mtu kitu ni cha kukaa saa moja lkn watakuweka hata saa sita siyo fair inakera sana.
Kuna mwaka nilikwenda Mahakamani kugongewa mhuri kwenye affidavity yangu ya kupeleka uhamiaji, nikapokelewa na vibibi viwili vyenye tabasamu la kuchonga nikijua ni maboresho ya huduma za mahakama, vikaingia kwenye chumba kimoja, vilipotoka vikaanza kunipiga danadana, nikaviambia nirudishieni form yangu niondoke vikasema ipo mezani kwa boss njoo kesho, kesho nikaenda vikasema mhuri haupo... nikaona isiwe taabu nikaviachia form nikaenda kuprocess form nyingine kupitia rafiki changu, majuzi kibibi kimoja kimestaafu kimekuja kuwa kijirani yangu na huwa kinakuja kuomba maji kwangu, navuta kasi nikiulize form yangu ilipotelea wapi.
 
Hizi ofisi za Serikali siku hizi mambo yamerudi vile vile kama zamani sikuwahi kuombwa rushwa leo nimeombwa rushwa watumishi wanafanya kazi utafikiri za baba zao.

Kweli mtu nimetuma barua toka mwezi wa tatu kila ukienda haijajibiwa kumbe kuna mtu kaweka barua pembeni kisa anataka rushwa sasa si angeniambia kipindi kile kile ningekuwa nishampa hiyo rushwa.

NB: Watumishi tufanye kazi kwa weredi jamani utakuta mtu kitu ni cha kukaa saa moja lkn watakuweka hata saa sita siyo fair inakera sana.
Ni muda wa walamba asali.

Sa100 kabariki wale kwa urefu wa kamba..toa hela acha kulia lia.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mwaka nilikwenda Mahakamani kugongewa mhuri kwenye affidavity yangu ya kupeleka uhamiaji, nikapokelewa na vibibi viwili vyenye tabasamu la kuchonga nikijua ni maboresho ya huduma za mahakama, vikaingia kwenye chumba kimoja, vilipotoka vikaanza kunipiga danadana, nikaviambia nirudishieni form yangu niondoke vikasema ipo mezani kwa boss njoo kesho, kesho nikaenda vikasema mhuri haupo... nikaona isiwe taabu nikaviachia form nikaenda kuprocess form nyingine kupitia rafiki yangu, majuzi kibibi kimoja kimestaafu kimekuja kuwa kijirani yangu na huwa kinakuja kuomba maji kwangu, navuta kasi nikiulize form yangu ilipotelea wapi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna mwaka nilikwenda Mahakamani kugongewa mhuri kwenye affidavity yangu ya kupeleka uhamiaji, nikapokelewa na vibibi viwili vyenye tabasamu la kuchonga nikijua ni maboresho ya huduma za mahakama, vikaingia kwenye chumba kimoja, vilipotoka vikaanza kunipiga danadana, nikaviambia nirudishieni form yangu niondoke vikasema ipo mezani kwa boss njoo kesho, kesho nikaenda vikasema mhuri haupo... nikaona isiwe taabu nikaviachia form nikaenda kuprocess form nyingine kupitia rafiki yangu, majuzi kibibi kimoja kimestaafu kimekuja kuwa kijirani yangu na huwa kinakuja kuomba maji kwangu, navuta kasi nikiulize form yangu ilipotelea wapi.
[emoji3][emoji3][emoji3]Halafu sasa bora wawe wanasema moja kwa moja utakuta wanakuzungusha sasa wakati mwingine huna hata hilo wazo la kujiongeza unakuja kushtuka baadae
 
Back
Top Bottom