Mazoea yamezidi Ofisi za Umma

Kuna wakati mtu unapatwa na hasira unaenda ofisi fulan unamkuta mhudumu anaongea na cmu tena umbea au stori tu halafu hakati kukusikiliza.Heri kama anaongea na bosi napo akimaliza anapaswa aseme samahani utaratibu mwingine uendelee.Ajabu mtu anayeleta dharau ukute anaelimu ndogo kuliko wewe alipata kazi kimichongo tu.Kweli ofisi ingekuwa yako ungefanya hivi?Mjirekebishe.Tume ya utumishi wa uma na maadili fanyeni kazi.
 
Huna tofauti na hao una washutumu,na kwa maelezo yako inaonekana nawe ni mtoa rushwa mzuri tu.Ungekuwa MTU wa haki basis kupiyia Uzi huu ungefafanua kila kitu kwamba kuna jambo XXX nalifatilia kwa Sikh XXX katika taasisi XXX hadi Leo hujapewa majibu yoyote,kwa namna hiyo wahusika wangepata ujumbe-umekaa kimya kwa kuwa na wewe ni hao hao.
 
Ofisi/Idara gani!? Usijitie mjuaji sana... Kuna baadhi ya huduma bila kujiongeza hutoboi
 
Ofisi/Idara gani!? Usijitie mjuaji sana... Kuna baadhi ya huduma bila kujiongeza hutoboi
Kupeleka barua kwa mkurugenzi kunahitaji rushwa na huyo mtu ni mtu wa masjala
 
Inakera sana tena ni maofisi mengi
 
Ukiachana na rushwa kuna suala la wafanyakazi kujibu ovyo pamoja na matusi wiki iliyopita nilimkuta mother fulani wa masijara ofisi ya wilaya nyamagana Mwanza anaongea ovyo ovyo tena kwa sauti kubwa anawatukana wanafunzi walikua wamepeleka barua za research sikufatilia ni wa chuo gani.
 
Njaa mbaya sana

Bro tokea lini njaa ikawa nzuri...

Ila nawewe mkono usiwe mfupi,,, ilihali umeshajua hii nchi ni ya walamba asali tayari..

Hakuna msaada mwingine na hakuna jambo utawafanya,,,, Lawama hazitasogeza barua yako mbele...

Kama ni mtumishi basi refusha mkono uokoe muda..
 
Nyie si mlifanya party jamaa wa chato alivyodondoka malipo hapa hapa duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…