Mazoezi makali ya wanajeshi Tabora kuna nini?

Mazoezi makali ya wanajeshi Tabora kuna nini?

Kuna kiongozi mkubwa atatekwa hivi karibuni, ndiyo maana wanajeshi wanajiandaa ili kumzuia.
 
Hupajui Tabora vizuri, Hapo kuna vijana mafia kupita kiasi... Kuna kipindi nakumbuka ilikuwa 2020, kutembea usiku ilikuwa mwisho saa mbili kamili.. Tuliishi hivyo kwa takribani miezi 4 hivi.
 
Kalunde haijawahi kuwa rts labda mafinga,makutupora na kunduchi ndio ziliwahi kuwa ila sio kalunde.
Labda kama hujui maana ya rts
Recruits Training School

Zamani miaka ya 90 mwishoni niliwahi ishi maeneo hayo, wanajeshi walikuwa wakiita kalunde hivyo.

Na nilikuwa naona zile courses za junior na senior zikiendelea pale
 
Kwa wiki nzima hii nimekuwa nikiona vikosi vya jeshi wakitembea mtaani hapa Tabora, wakiwa wameshika bunduki, wakitembea kwa mstari, ukipita maeneo ya kule Ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wao ndio wamezagaa mule ndani na ndio wanaofungua na kufunga mageti.

MIsururu ya magari yao inakatiza, hii inatisha watu tena wakati wa misululu hiyo juu kunakuwa na Escot ya Helkopta wenye kujua nini kinaendelea watujuze maana inatisha walahi

Kwenu wanajamvi..
Ni msimu wa uchaguzi , na hivyo ni Vitisho kwa raia chama chetu hakina uwezo wa kushindana kwa hoja jukwaani hivyo tunategemea vitisho vya majeshi
 
Recruits Training School

Zamani miaka ya 90 mwishoni niliwahi ishi maeneo hayo, wanajeshi walikuwa wakiita kalunde hivyo.

Na nilikuwa naona zile courses za junior na senior zikiendelea pale
Ni sahihi lakini junior ilikuwa inapigishwa pale na saahizi wanapigisha senior lakini kalunde haijawahi kupigisha course ya recruit hivyo haijawahi kuwa rts
 
Ni sahihi lakini junior ilikuwa inapigishwa pale na saahizi wanapigisha senior lakini kalunde haijawahi kupigisha course ya recruit hivyo haijawahi kuwa rts
Labda nao uelewa ulikuwa mdogo, walizoea kuita Kalunde RTS
 
Back
Top Bottom