Mazoezi ya Lemutuz yawatoa 'machozi' madaktari,wasema ''anachokitafuta atakipata"

Mazoezi ya Lemutuz yawatoa 'machozi' madaktari,wasema ''anachokitafuta atakipata"

Kwa jinsi alivyo kibinua kizigo chake, maana tunakijua "kifo cha mende", sasa hicho vijana wa mjini watakiita nini!!! Pengine wataanza kukiita "kifo cha lemutuz" wakimuweka demu staili hio.

Ila bora nisitoe comment yoyote humu.

Admini hata niacha salama, atanipa BAN bure.[emoji120]
 
41204184_1832651010104812_2962902898747839687_n.jpg

Wakati Lemutuz akiwa anamalizia free trial ya mwezi mmoja kutoka gym fulani (jina kapuni),madaktari kadhaa wamecharuka na aina ya upigaji wake wa mazoezi na kudai mambo na mazoezi anayofanya si salama tena kwa umri wake.
Tofauti na upigaji mazoezi wa kawaida ambao mtu ubeba vitu vizito,Lemutuz yeye kaja na staili mpya ambapo huweka tumbo sakafuni kisha anawekewa vitu vizito mgongoni (mfano watu,madumu ya maji,matofali, mitungi ya gesi nk)
Madaktari hao wameshauri mmiliki huyo wa Gym kumkataza mara moja aina hiyo ya ufanyaji mazoezi au wamsimamishe mazoezi mara moja baada ya Free trial yake kuisha maana kuna uwezekano mkubwa wa kukatika kiuno na hivyo kusababishwa kufikishwa mahakamani kwa wamiliki hao.
Madaktari wengine walidai kuna uwezekano mkubwa mazoezi ya aina hiyo ikawa ni njia mpya ya uongezaji wa nguvu za kiume lkn wakiogopa kuthibitisha isije vijana wote wa Dar wakakimbilia mazoezi hayo.
Wakati hayo yakiendelea gym Lemutuz ameendelea kuwaumiza kichwa wasomi wa tabia za binadamu na saikolojia hasa baada ya kumstudy kwa miaka 10 lkn kushindwa kabisa kujua yeye ni aina gani ya binadam hasa.
Daah nimecheka sana mkuu😂😂😂😂😂😂
 
41204184_1832651010104812_2962902898747839687_n.jpg

Wakati Lemutuz akiwa anamalizia free trial ya mwezi mmoja kutoka gym fulani (jina kapuni),madaktari kadhaa wamecharuka na aina ya upigaji wake wa mazoezi na kudai mambo na mazoezi anayofanya si salama tena kwa umri wake.
Tofauti na upigaji mazoezi wa kawaida ambao mtu ubeba vitu vizito,Lemutuz yeye kaja na staili mpya ambapo huweka tumbo sakafuni kisha anawekewa vitu vizito mgongoni (mfano watu,madumu ya maji,matofali, mitungi ya gesi nk)
Madaktari hao wameshauri mmiliki huyo wa Gym kumkataza mara moja aina hiyo ya ufanyaji mazoezi au wamsimamishe mazoezi mara moja baada ya Free trial yake kuisha maana kuna uwezekano mkubwa wa kukatika kiuno na hivyo kusababishwa kufikishwa mahakamani kwa wamiliki hao.
Madaktari wengine walidai kuna uwezekano mkubwa mazoezi ya aina hiyo ikawa ni njia mpya ya uongezaji wa nguvu za kiume lkn wakiogopa kuthibitisha isije vijana wote wa Dar wakakimbilia mazoezi hayo.
Wakati hayo yakiendelea gym Lemutuz ameendelea kuwaumiza kichwa wasomi wa tabia za binadamu na saikolojia hasa baada ya kumstudy kwa miaka 10 lkn kushindwa kabisa kujua yeye ni aina gani ya binadam hasa.
 
Pamoja na madhaifu mengine ya huyu ndugu lakini nashangazwa sana na jinsi vijana wa kiume wanavyohangaishwa na maumbile ya huyu!!!......

How come full grown man unahangaishwa na ukubwa au udogo wa maumbile ya mwanaume mwenzako!!!!....?

Hili jambo huwa linaniacha mdomo wazi
I second you
Mbaya zaidi maumbile ya mwanadamu si hiyari ya mwanadamu bali Muumbaji ndie humfanya awe hivyo, na mwanadamu hana namna anaweza jibadilisha.
 
Iyo spinal cord anaichezea hvyo wengine inatusotesha tunaiona Dunia chungu. Kweli kubwa jinga hapo kabugi
 
Hahahahahahahahahahahaha daaaaah nmecheka saaaana alooo
 
Ha ha ha,mazoezi hatari hayo.Pingiri moja tu ya uti wa mgongo ikilegea mwili wote unapoteza mawasiliano
 
Nahisi Mzee Malecela akimuona Lemutuz a.k.a Lekokobanga a.k.a Nyenyenyenye huwa anajisemea kimoyomoyo "bora mbegu zangu ningezimwaga nje kuliko kuleta kiumbe cha namna hii Duniani"
 
Back
Top Bottom