Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Walete waleteeeeHuwezi kufanya mazoezi huku mmejifunika uso, halafu mnapiga mashuti yasio ya kawaida.
Mnafanya mazoezi huku mnalia sana, mnaomba mechi iwe hata kesho, hii sio sawa
Picha au video wapi mkuu?Huwezi kufanya mazoezi huku mmejifunika uso, halafu mnapiga mashuti yasio ya kawaida.
Mnafanya mazoezi huku mnalia sana, mnaomba mechi iwe hata kesho, hii sio sawa
Inakuuma sana?Wewe unapenda Soka, Halafu ujikute Wewe ni Utopolo...Inauma Sana.
Huyu Mungu Si hata angekufanya ujikute hata ni shabiki wa Mashujaa
Ushawapa dau lako lako na wewe walishike shike??Ngoja waje washika dau
Mazoezi ndiyo mfumo wa maisha ya mwana michezoHuwezi kufanya mazoezi huku mmejifunika uso, halafu mnapiga mashuti yasio ya kawaida.
Mnafanya mazoezi huku mnalia sana, mnaomba mechi iwe hata kesho, hii sio sawa
Sasa sijui hasira zao ni za nini? Yani kabisa wanalia mazoeziniHuwezi kufanya mazoezi huku mmejifunika uso, halafu mnapiga mashuti yasio ya kawaida.
Mnafanya mazoezi huku mnalia sana, mnaomba mechi iwe hata kesho, hii sio sawa
Hayo mbona ni mazoezi ya Bush Stars!?Huwezi kufanya mazoezi huku mmejifunika uso, halafu mnapiga mashuti yasio ya kawaida.
Mnafanya mazoezi huku mnalia sana, mnaomba mechi iwe hata kesho, hii sio sawa
hatutishiki sisi wananchiHuwezi kufanya mazoezi huku mmejifunika uso, halafu mnapiga mashuti yasio ya kawaida.
Mnafanya mazoezi huku mnalia sana, mnaomba mechi iwe hata kesho, hii sio sawa
AahaaaaHahahahahah ushabiki wa Simba na Yanga ni burudani sana.
Na ni mazoezi ya maninja labda wameshaona mziki wa Aucho kiungo cha chini na akili kubwa ya CB za Yanga wakaona kuna haja ya kua tunapiga mashuti katikati ya uwanja tu potelea pote hata kama yataenda njee sawa ndio maana ya kufumba/kuziba macho..Hayo mbona ni mazoezi ya Bush Stars!?