Mazoezi ya msuli wa PC au 'Kegel' ili kufanya uke kubana na kusaidia misuli ya uume

Kupiga indiketa inataka umakini sana...unaweza kuwa unabana na kuachia PC kumbe ni misuli mingine kabisa


Wakati wa kubanjuka ndo rahisi zaidi(kwa mtazamo wangu)
 
Kupiga indiketa inataka umakini sana...unaweza kuwa unabana na kuachia PC kumbe ni misuli mingine kabisa


Wakati wa kubanjuka ndo rahisi zaidi(kwa mtazamo wangu)
Namna rahisi ya kuutambua msuli wa PC ni pindi pale mwanamke anapozuia mkojo kwani msuli huo ukaza uke na kuzuia mkojo hivyo mwanamke anaweza kujifunza kwa urahisi namna ya kufanya mazoezi ya msuli huu kwa kufanya mazoezi ya kubana mkojo pindi anapokuwa anakojoa panua mapaja na kisha zuia mkojo kwa muda wa sekunde tatu na achia sekunde 3,-
 

Mkuu mwana ally kufnya mazoezi ya pc kwa kubana mkojo si chanzo cha ugonjwa wa UTI ila nilishaur kutumia njia ya mkojo kutambua msuli huu wa Pc kwani ndio njia rahisi ya kutambua musuli huu then utakapokuwa umeshautambua unaweza kufanya zoezi kwa njia nyingine zozote kama upunaofu hiyo hila nikuhakikishie tu uwezi pata UTI kwa kufanya zoezi..
 
inaitwa kegel exercises...nzur sana kwa wanaume..nina mwaka ss nafanya ii ki2 na nafurahia ma2 nda
 
Huo msuli ndo upi?

Namna rahisi ya kuutambua msuli wa PC ni pindi pale mwanamke anapozuia mkojo kwani msuli huo ukaza uke na kuzuia mkojo hivyo mwanamke anaweza kujifunza kwa urahisi namna ya kufanya mazoezi ya msuli huu kwa kufanya mazoezi ya kubana mkojo pindi anapokuwa anakojoa panua mapaja na kisha zuia mkojo kwa muda wa sekunde tatu na achia sekunde 3,-...pia mwanaume kuujua msuli huu unatakiwa kubana mkojo na kuachia kama nilivyoelekeza hapo juu...
 
inaitwa kegel exercises...nzur sana kwa wanaume..nina mwaka ss nafanya ii ki2 na nafurahia ma2 nda

Mkuu Geezzle asante kwa kutupa uzoefu wako juu ya mazoezi haya...!
 
Mazoezi ya kergel uwa wanafanya sana kina Mandingo ndio maana anaweza akapiga mbupu hata lisaa bila kushusha wakorea.
 
Last edited by a moderator:

Nimekusoma Mwinjuma. thanx
 
PC kirefu chake ni nini?...
Navojua kuna mazoezi ya Kegel ndo mpango mzima kwenye kuweka vizuri misuli ya Pelvic area ,nishajaribu kidogo,maybe ma expert watueleze hapa kinagaubaga namna ya kuyafanya
 
kumbeeeee., me nlikua nafanya coz nlikua nackia rahaaaaaaaaa., ndo mana mshkaji akasema i seeee cjawah ona
 
hakika jf ni zaidi ya uijuavyo.Mm nina tatizo kubwa sana la kuwahi kufika kileleni,yaani simalizi hata dk1wakorea hao! naanza rasmi hili zoezihuenda likanisaidia maana nimechoka kutumia hela nyingi kununua madawa ambayo hayanisaidii
.Thanks jf
 
Huo msuli wa PC utaubanaje wakati ukiwa hauna mkojo watakati umesema unatakiwa ubanwe ukiwa unatoa mkojo?
 
hakika jf ni zaidi ya uijuavyo.Mm nina tatizo kubwa sana la kuwahi kufika kileleni,yaani simalizi hata dk1wakorea hao! naanza rasmi hili zoezihuenda likanisaidia maana nimechoka kutumia hela nyingi kununua madawa ambayo hayanisaidii
.Thanks jf
Mkuu Ukawa2 nakuhakikishia kuwa mara utakapoanza kufanya mazoezi haya utaona mabadiliko ktk maisha yako ya ndo wanaume wengi wanaofnya mazoezi haya ya PC wamefanikiwa kupata heshima nyumban kwani wanauwezo mkubwa sana wa kuweza kuzuia mbegu zisitoke mpaka utakapoziruhusu(wakti wa tendo la ndoa)...fanya zoezi hili kwa uaminifu km nilivyoelekeza naamini baada ya week mbili utatupa shuhuda nzuri hapa jf na kwengineko..!!
 
kumbeeeee., me nlikua nafanya coz nlikua nackia rahaaaaaaaaa., ndo mana mshkaji akasema i seeee cjawah ona

Axante mkuu Aloreiya naamini wadau wamesikia ushuhuda wako..!
 

Zoez hilo kwa hawa mamsap wetu wataweza kweli?
 
Zoez hilo kwa hawa mamsap wetu wataweza kweli?

Maana usione wako cute, wanenguaji wa bendi wanakatika, inapofika ile kitu kuwa ndani wengi wanakuwa wazito huwez kuamini, wanakuwa magogo, wachache wanajitutumua mara baada ya muda aaah nmechokaaa ooh ooh! 6*6 kaka ni tofauti. Kwa hiyo kwa zoez hilo tu la kubana pc sidhani kama watafanya hawa mamsap wetu
 
Mwanaume anafanyaje? Mana nkipiga ---- moja wazungu nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…