Mazoezi ya viungo ni muhimu kwa afya ya mwili na akili.

Wewe unafanya mazoezi wapi?
 
Sasa ile ndo mbaya mkuu, mjeshi akistaafu na akabweteka bila ya mazoezi ataumia, kwa sababu alishauzoesha mwili kufanya mazoez gafla akaacha Lazima aumwe
 
Huu uzi umenikumbusha wimbo ule wa dayamondi ameimba na mdada wa Kenya chorus wanamalizia 'binadamu bwana...'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…