Mazombi ya Msimbazi yalivyoondoka kwa aibu sina hamu

Mazombi ya Msimbazi yalivyoondoka kwa aibu sina hamu

haya ma mikia FC ni ma-k mdebwedo, tare8 tuliya oa rasmi na kuyakojolea kimoko, tena hadharani mbele ya maraisi3
 
Dk zimeongezwa zimeisha refa akawa anasubiri goli lipatikane amalize mpira,
Utopolo ni utopolo tu
Ukikaa na mashabiki uchwara huku kwenye vibanda umiza utasikia dakika za nyongeza hazina nyongeza. Sijui nani anawakaririsha huu upuuzi. Mngewashauri Namungo wasijiangushe hovyohovyo mngekuwa mmefanya lamaana.
 
Ukikaa na mashabiki uchwara huku kwenye vibanda umiza utasikia dakika za nyongeza hazina nyongeza. Sijui nani anawakaririsha huu upuuzi. Mngewashauri Namungo wasijiangushe hovyohovyo mngekuwa mmefanya lamaana.
Kinachonishangaza sisikii waandishi wa habari wakilielezea hili suala
 
Utopolo kweli maisha yenu yanasikitisha, Namungo wanalia kukosa ushindi nyie mnachekelea kutoa sare. Mwakani bado mtalialia sana ubingwa mpaka mnyama achukue mara tano mfululizo
 
Back
Top Bottom