Mazonge ya kufutiwa zambi

Mazonge ya kufutiwa zambi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Kuhani mkuu anapofanya matembezi ya kimkakati kwa ajili ya kumtangazia mzambi ambaye pengine aliomba kitubio (au hajaomba) wanakaya wanabaki na mshangao wa mshangazi
Mshangao wa kutojua mzambi alitenda maovu gani
Mshangao wa kutojua mzambi alimkosea nani
Je ni mazambi binafsi au ni mazambi jumuishi?
Je ni mazambi yenye hatia ya jamii?
Je ni mazambi yenye hasara binafusi au !? Ah! Au..!!!
Je utaratibu ni upi wa kumchukulia hatua mwovu? Ni kununiwa!? Kisha akikaza anatangaziwa msamaha wa zambi na maisha yanasonga
Hivi msamaha unafuta maovu kama yale ya wagalatia?
Hongera February umeuipiga mwingi
Kwako kuhani.. Kumbuka msemo wa wahenga wa kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.. Kina kutumiwa na kutumika.. Kwa faida ya nani? Hilo ndio kubwa na la muhimu sana
1740505189170.jpg
 
Kuhani mkuu anapofanya matembezi ya kimkakati kwa ajili ya kumtangazia mzambi ambaye pengine aliomba kitubio (au hajaomba) wanakaya wanabaki na mshangao wa mshangazi
Mshangao wa kutojua mzambi alitenda maovu gani
Mshangao wa kutojua mzambi alimkosea nani
Je ni mazambi binafsi au ni mazambi jumuishi?
Je ni mazambi yenye hatia ya jamii?
Je ni mazambi yenye hasara binafusi au !? Ah! Au..!!!
Je utaratibu ni upi wa kumchukulia hatua mwovu? Ni kununiwa!? Kisha akikaza anatangaziwa msamaha wa zambi na maisha yanasonga
Hivi msamaha unafuta maovu kama yale ya wagalatia?
Hongera February umeuipiga mwingi
Kwako kuhani.. Kumbuka msemo wa wahenga wa kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.. Kina kutumiwa na kutumika.. Kwa faida ya nani? Hilo ndio kubwa na la muhimu sanaView attachment 3250048
Hiyo ni kwa hisani ya Marehemu Mzee Mohamed Mbega aliyekuwa mkuu wa jopo la waganga wa Mzee wa Msoga.
 
Ujio wa yule jamaa Mmatumbi unawanyima baadhi ya wananzengo usingizi ikiwemo kinara wa msafara.

Hivyo tegemea kila mwananzengo mwenye mbinu mbadala za kumzuia mmatumbi atatafutwa alipo hata Kama mwananzego huyo Alionekana hafai.


Huu ni utamaduni wa hao wananzengo kwani umesahau kuwa 2015 alitafutwa hadi mwananzego mmoja aliyekuwa ameshakigeukia kilimo cha Nyanya na kuomba kuja kuongoza mashambulizi na baada ya hapo Kazi yake ilipoisha alipewa Coboka
 
Ujio wa yule jamaa Mmatumbi unawanyima baadhi ya wananzengo usingizi ikiwemo kinara wa msafara.

Hivyo tegemea kila mwananzengo mwenye mbinu mbadala za kumzuia mmatumbi atatafutwa alipo hata Kama mwananzego huyo Alionekana hafai.


Huu ni utamaduni wa hao wananzengo kwani umesahau kuwa 2015 alitafutwa hadi mwananzego mmoja aliyekuwa ameshakigeukia kilimo cha Nyanya na kuomba kuja kuongoza mashambulizi na baada ya hapo Kazi yake ilipoisha alipewa Coboka
Uko sahihi, ngoma imekuwa nzito tofauti na matarijio yao, ujio wa Mmatubi na umafia uliofanyika Idodomya umeleta ugumu sana kufikia malengo inabidi kila silaha itumike.
 
Uko sahihi, ngoma imekuwa nzito tofauti na matarijio yao, ujio wa Mmatubi na umafia uliofanyika Idodomya umeleta ugumu sana kufikia malengo inabidi kila silaha itumike.
Ila ma rope sio ya kuyaamini sana japo hatuwezi kujua huko pembeni wamekubaliana nini na kuahidiana nini
 
Kila nikikumbuka Mandondo alivyotutembelea pale Uhindini Iringa na mauzauza yaliyotokea sishangai kabisa February kuibukaga kinara wa mchezo Nyakati ZOTE 🐼
 
Back
Top Bottom