Mazungumzo kati ya rais Putin na Erdoğan baada ya shambulizi la Idlib

Mazungumzo kati ya rais Putin na Erdoğan baada ya shambulizi la Idlib

MZK

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
240
Reaction score
309
Rais wa Urusi Azungumza na rais Erdoğan kufuatia shambulizi dhidi ya jeshi la Uturuki na kusababisha maafa.

Urusi na Uturuki zavunja ukimya baada ya shambulizi lililowalenga wanajeshi wa Uturuki Idlib na kupelekea vifo vya askari 33 wa Uturuki.

Waziri wa Urusi wa mambo ya je Sergey Lavrov amesema kuwa mazungumzo kati ya marais hao wawili yamehusu mbinu za kuhakikisha kuheshimu makubaliano yaliosainiwa kuhusu Idlib nchini Syria.

Ikulu ya rais mjini Moscow imefahamisha kuwa hatua za ziada zitachukuliwa kwa pamoja ili kuhakikisha hali inarejea Idlib kama ilivyokuwa hapo awali.
 
Turkey is a big joke. Huwezi kuingia nchi ya watu ukaanza kuwapangia kijingajinga namna ile. Eti anawapa deadline vikosi vya syria kurudi nyuma ndani ya nchi yao, yani Edorgan anajiona yeye ni Trump au Putin sio?
 
Rais wa Urusi Azungumza na rais Erdoğan kufuatia shambulizi dhidi ya jeshi la Uturuki na kusababisha maafa.

Urusi na Uturuki zavunja ukimya baada ya shambulizi lililowalenga wanajeshi wa Uturuki Idlib na kupelekea vifo vya askari 33 wa Uturuki.

Waziri wa Urusi wa mambo ya je Sergey Lavrov amesema kuwa mazungumzo kati ya marais hao wawili yamehusu mbinu za kuhakikisha kuheshimu makubaliano yaliosainiwa kuhusu Idlib nchini Syria.

Ikulu ya rais mjini Moscow imefahamisha kuwa hatua za ziada zitachukuliwa kwa pamoja ili kuhakikisha hali inarejea Idlib kama ilivyokuwa hapo awali.
Rais Erdogan ananikumbusha Tamthilia ya Jumong, Pale Taeso na Baba Mkwe wake walipopeleka Jeshi likapigane na Jumong wakaishia kupata kipigo cha mbwa koko hadi pressure zikawapanda. Ndo kinachomtokea Erdogan na Uturuki yake kaingia kichwakichwa sasa anakomeshwa na mafuta hatoyapata Trump anamcheka kwa sana.
 
Back
Top Bottom