Mazungumzo ya kusitisha mapigano Gaza kulingana na vyanzo vya kipekee vya Al-Araby TV

Mazungumzo ya kusitisha mapigano Gaza kulingana na vyanzo vya kipekee vya Al-Araby TV

Huu kama mchezo wa kuigiza unafanywa watu waliovunjiwa majengo na kuuliwa vile na itikadi yao kuikomboa Palestine kutoka kwa Mazayuni wasingekubali kirahisi hivi hawa Hamas wameonyesha udhaifu mbele ya mazayuni na ni waoga na wanafiki.
 
Litakuwa jambo zuri kama ni kweli.
 
Cream yote ya Hamas imefyekwa; top leadership yote ya Hezbollah iko kaburini; Gaza imegeuzwa ruins; Israel shughuli zinaendelea kama kawaida as if nothing happened yet unauliza hilo swali! Dah.
Watu wa israel kaskazini wakikusikia watakupiga mawe,hivi kwanza wamerudi makwao?!
 
Hahaha waache uoga, wapigane tu au wameona moto unazidi kuwa mkali na bikira zimepungua, hivyo wakaona wapumzishe mafuvu yao kidogo.
Duh, takbir....!
 
Gaidi hapaswi kupewa nafasi ya kujipanga upya, gaza inapaswa kua chini ya wazayuni kwa mda mrefu mpaka watakapo staarabika
 
Ni bora iwe makubaliano ya kuondoa Raia wote ili uwanja ubaki Hamas na IDF.

Mimi naamini raia wakiondolewa Hamas hawataonekana kwasababu wanategemea kujificha ndani ya raia.
Utowaona maana wanajichanganya ili wakipigwa waseme wamepigwa raia
 
Back
Top Bottom