Huu kama mchezo wa kuigiza unafanywa watu waliovunjiwa majengo na kuuliwa vile na itikadi yao kuikomboa Palestine kutoka kwa Mazayuni wasingekubali kirahisi hivi hawa Hamas wameonyesha udhaifu mbele ya mazayuni na ni waoga na wanafiki.
Cream yote ya Hamas imefyekwa; top leadership yote ya Hezbollah iko kaburini; Gaza imegeuzwa ruins; Israel shughuli zinaendelea kama kawaida as if nothing happened yet unauliza hilo swali! Dah.