Mazungumzo ya maridhiano duniani kote ni siri. Kuna mtu anafahamu kinachoongelewa kwenye maridhiano ya Eritrea na Ethiopia?

Mazungumzo ya maridhiano duniani kote ni siri. Kuna mtu anafahamu kinachoongelewa kwenye maridhiano ya Eritrea na Ethiopia?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Wale mnaopiga kelele kulalamikia usiri wa mazungumzo ya maridhiano kati ya Mbowe na Kinana tuambieni.

Ni wapi ulishawahi kuona umma ukitaarifiwa kinachozungumzwa kwenye meza ya maridhiano?

Taarifa hutolewa mwishoni kile walichoafikiana mezani.

Uhuru anaongoza mazungumzo kati ya Eritrea na Ethiopia. Nani kaambiwa kinachoongelewa??
 
Yawe siri kama ni personal interest za wanaoridhiana, lakini kama yanahusu public interest hayatakiwi kuwa siri, CCM na Chadema sio vyama binafsi vya Mbowe na Samia, ni vyama mali ya umma.
 
Wale mnaopiga kelele kulalamikia usiri wa mazungumzo ya maridhiano kati ya Mbowe na Kinana tuambieni.

Ni wapi ulishawahi kuona umma ukitaarifiwa kinachozungumzwa kwenye meza ya maridhiano?

Taarifa hutolewa mwishoni kile walichoafikiana mezani.

Uhuru anaongoza mazungumzo kati ya Eritrea na Ethiopia. Nani kaambiwa kinachoongelewa??
Mkuu katika sehemu ya kutolea mfano umeona Eritrea na Ethiopia ndiyo tuziweke kama mfano?

Kabisaa umekaa kufikiri utoe mfano gani, ukaona Eritrea na Ethiopia ndiyo mfano bora ?
 
Mkuu katika sehemu ya kutolea mfano umeona Eritrea na Ethiopia ndiyo tuziweke kama mfano?

Kabisaa umekaa kufikiri utoe mfano gani, ukaona Eritrea na Ethiopia ndiyo mfano bora ?
Mbona kama umepanyanyapaa Sana Eritrea na Ethiopia kutolewa kama mfano?
 
Mbona kama umepanyanyapaa Sana Eritrea na Ethiopia kutolewa kama mfano?
Sijanyanyapaa, ni fact kwamba Ethiopia na Eritrea kuna human rights abuses za kutosha ku disqualify kuzifanya kama mfano.Kutoka kwa uongozi. Systematically.

You just had to pick from the bottom of the barrel.
 
Yawe siri kama ni personal interest za wanaoridhiana, lakini kama yanahusu public interest hayatakiwi kuwa siri, CCM na Chadema sio vyama binafsi vya Mbowe na Samia, ni vyama mali ya umma.
Mali ya UMMA au ya UKOO??
 
Wale mnaopiga kelele kulalamikia usiri wa mazungumzo ya maridhiano kati ya Mbowe na Kinana tuambieni.

Ni wapi ulishawahi kuona umma ukitaarifiwa kinachozungumzwa kwenye meza ya maridhiano?

Taarifa hutolewa mwishoni kile walichoafikiana mezani.

Uhuru anaongoza mazungumzo kati ya Eritrea na Ethiopia. Nani kaambiwa kinachoongelewa??
Imebidi nicheke. Kuna mazungumzo kati ya Eritrea na Ethiopia? Kwa lipi? Eritrea ilishajitenga, inaendelea na mambo yake kama nchi huru.
Mazungumzo yanayoendelea ni kati ya utawala(waasi) wa jimbo la Tigray na serikali ya shirikisho la Ethiopia.
 
Serikali ya Eritrea na Serikali ya Ethiopia ni marafiki kwa sasa kiasi kwamba serikali yw Eritrea inaisaidia serikali ya Ethiopia kupambana na wapiganaji wa Tigray.
 
Wale mnaopiga kelele kulalamikia usiri wa mazungumzo ya maridhiano kati ya Mbowe na Kinana tuambieni.

Ni wapi ulishawahi kuona umma ukitaarifiwa kinachozungumzwa kwenye meza ya maridhiano?

Taarifa hutolewa mwishoni kile walichoafikiana mezani.

Uhuru anaongoza mazungumzo kati ya Eritrea na Ethiopia. Nani kaambiwa kinachoongelewa??
Wewe na waliokutuma ni mahayawani
 
Back
Top Bottom