Mazungumzo yasiyosikika

Daaah! Itokee mtu amenikera anavyoendelea kuongea me kimya ila majibu nayompa ambayo hayasikii angesikia anaweza asiamini km ni mimi naemjibu akaishia kupata pressure na nilivyo naonekana mpole
Mkuu unanikumbusha jkt wale jamaa wanapotoa kifinyo kwa vijana kumbe wanajua vijana wanatukana kimoyomoyo
 
Mkuu unanikumbusha jkt wale jamaa wanapotoa kifinyo kwa vijana kumbe wanajua vijana wanatukana kimoyomoyo
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji115] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
mshana jr nakuunga mkono mia kwa mia unajua ndani ya dk moja binadamu anawaza mamilioni ya mawazo
Hii software sijui ina memory kubwa kiasi gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…