shamajengo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,217
- 1,432
Mkuu unanikumbusha jkt wale jamaa wanapotoa kifinyo kwa vijana kumbe wanajua vijana wanatukana kimoyomoyoDaaah! Itokee mtu amenikera anavyoendelea kuongea me kimya ila majibu nayompa ambayo hayasikii angesikia anaweza asiamini km ni mimi naemjibu akaishia kupata pressure na nilivyo naonekana mpole