Mazungumzo yasiyosikika

Noted mkuu
 
Kaka mshana naomba kuongea nawe kakaangu nipo kwenye magum

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app

Karibu bila Shaka ila pitia hapa kwanza

Naomba kuongea na wadogo zangu wa kiume 18-30years
 
Nilikua najaribu kukutumia msg inakataa

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 

Maslahi ya kiroho kwenye matokeo tasa ya kimwili yaliyoharibika
 
Mi maongezi ninayotamani kuyasikia ni yale ya ule ukimya unaokuwepo kwa ke wakati me anavaa kinga kwenye penzi jipya. Huwa natamani kujua ke anawaza nini.
 
Mi maongezi ninayotamani kuyasikia ni yale ya ule ukimya unaokuwepo kwa ke wakati me anavaa kinga kwenye penzi jipya. Huwa natamani kujua ke anawaza nini.

[emoji16][emoji16][emoji16]na wewe huwa unawaza nini hasa akikuvalisha yeye
 
Maana yake Nini ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…